pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia ya masana.karibu
nadhani picha inakupa uhalisia tofautibila karibu uwaone kwa macho na pia ununue,nipo mbezi beach na kama unawajua bata aina ya pekin basi utakua umeelewa.kwa usaidizi zaidi jaribu google then search pekin ducks then utajua walivyo,karibu dana mkuuMkuu kwenye hiyo picha hao ndo bata wenyewe?,
Kama ni hao mbona wadogo wadogo sana
usiseme hivyo kabla hujaviona kwa uhalisia mkuu,labda picha inakupa uhalisia tofauti ila kama unawajua pekin ducks basi utakua umeelewa.karibu sana mkuuHivyo kwa picha ni vitoto
nadhani picha inakupa uhalisia tofautibila karibu uwaone kwa macho na pia ununue,nipo mbezi beach na kama unawajua bata aina ya pekin basi utakua umeelewa.kwa usaidizi zaidi jaribu google then search pekin ducks then utajua walivyo,karibu dana mkuu
Kuna faida zingine za ziada mkuu? mbona ni ghali sana !!!!pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia ya masana.karibu
pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia ya masana.karibu
nimeipenda hiyo,sasa nenda pale makumbusho au rain bow njia ya mwai kibaki halafu ulizia bei!ukinunua njoo nakupa mifugo bure.its good chaleng n its nice to share ila karibu!View attachment 751232
Hii ndio bei halisi ya hao bata, wala hakuna cha ajabu cha kufanya uuze bata mmoja zaidi ya laki 1
nimeipenda hiyo,sasa nenda pale makumbusho au rain bow njia ya mwai kibaki halafu ulizia bei!ukinunua njoo nakupa mifugo bure.its good chaleng n its nice to share ila karibu!Kuna faida zingine za ziada mkuu? mbona ni ghali sana !!!!
heheheee,nimekomaa kweli kweli na unakaribishwa ufugaji mtamuuuuSema mkuu komaa nao tu
mzigo huo karibu,nauza bata maji wa kawaida weupe,rangi rangi,weusi na wenye afya,Tsh 12,000/- kwa dume au jike bei moja,karibu mkuuheheheee,nimekomaa kweli kweli na unakaribishwa ufugaji mtamuuuu
nipe quote na hao mkuu!hehehe.karibu sana,hao nauza 12,000/- kwa bei ya jumla.jike au dume bei moja.karibu sana mkuuView attachment 751232
Hii ndio bei halisi ya hao bata, wala hakuna cha ajabu cha kufanya uuze bata mmoja zaidi ya laki 1
Unapatikana wapmzigo huo karibu,nauza bata maji wa kawaida weupe,rangi rangi,weusi na wenye afya,Tsh 12,000/- kwa dume au jike bei moja,karibu mkuu
nipo mbezi beach njia ya masana hospital,dial 0713246244Unapatikana wap