Nauza bata aina ya pekin

liq

Member
Apr 12, 2018
51
38
pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia ya masana.karibu
 

Attachments

  • 2B96BD66-250E-4400-90D5-957C777A3AD3.jpeg
    2B96BD66-250E-4400-90D5-957C777A3AD3.jpeg
    463.2 KB · Views: 130
  • A447638B-2B6F-43EC-9C75-85B7928D7D02.jpeg
    A447638B-2B6F-43EC-9C75-85B7928D7D02.jpeg
    401.4 KB · Views: 135
Bata kwa 115,000/- kisa ana nyama nyingi na mtamu sana!labda ungeongezea faida nyingine ili nikuelewe mkuu,labda kama vile kwa familia moja tunaweza kumla kwa siku ngapi,ana uwezo wa kutaga mpaka mayai mangapi nk,nk...
 
napatikana mbezi beach njia ya kupandisha masana hospital,sio vitoto wana mwaka na mwezi.nadhani ni picha jinsi ulivyoona.karibu uwaone kwa macho na ununue pia..
 
Mkuu kwenye hiyo picha hao ndo bata wenyewe?,

Kama ni hao mbona wadogo wadogo sana
nadhani picha inakupa uhalisia tofautibila karibu uwaone kwa macho na pia ununue,nipo mbezi beach na kama unawajua bata aina ya pekin basi utakua umeelewa.kwa usaidizi zaidi jaribu google then search pekin ducks then utajua walivyo,karibu dana mkuu
 
nadhani picha inakupa uhalisia tofautibila karibu uwaone kwa macho na pia ununue,nipo mbezi beach na kama unawajua bata aina ya pekin basi utakua umeelewa.kwa usaidizi zaidi jaribu google then search pekin ducks then utajua walivyo,karibu dana mkuu

Sema mkuu komaa nao tu
 
pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia ya masana.karibu
Kuna faida zingine za ziada mkuu? mbona ni ghali sana !!!!
 
pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia ya masana.karibu

Mmoja 230,000?
 
pekin1.JPG


o_Oo_Oo_O

Hii ndio bei halisi ya hao bata, wala hakuna cha ajabu cha kufanya uuze bata mmoja zaidi ya laki 1
 

Attachments

  • pekin1.JPG
    pekin1.JPG
    59.4 KB · Views: 86
  • pekin1.JPG
    pekin1.JPG
    59.4 KB · Views: 69
Kuna faida zingine za ziada mkuu? mbona ni ghali sana !!!!
nimeipenda hiyo,sasa nenda pale makumbusho au rain bow njia ya mwai kibaki halafu ulizia bei!ukinunua njoo nakupa mifugo bure.its good chaleng n its nice to share ila karibu!
 

Attachments

  • C35CDA02-A0A4-4D9E-82BA-39330B7EC115.jpeg
    C35CDA02-A0A4-4D9E-82BA-39330B7EC115.jpeg
    333.7 KB · Views: 73
  • 61BE7067-AC2C-48D8-B44C-8E270EBEDDBD.jpeg
    61BE7067-AC2C-48D8-B44C-8E270EBEDDBD.jpeg
    76.3 KB · Views: 79

Similar Discussions

Back
Top Bottom