Sehemu wanapo uza vifaa vya eletronic Zanzibar

Sehemu wanapo uza vifaa vya eletronic Zanzibar

Karimu123

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
243
Reaction score
114
Habar wakuu
Nimekuwa nikifuatilia sana juu ya uuzaji wa vifaa vya eltrinia zenji lakin watu wanaofanya biashara hii wamekuwa hawatak kusema ni wap wananunulia kwa zenji.Naomb kufahamishwa wap wanauza vifaa used kwa zenji mana ukienda maduka mengine zenji hyana tofauti na ya dsm asanten
 
Watakuja tu kutoa majibu, japo ka,ma una mtu yuko Zanzibar nadhani ni vizuri kufanya naye mawasiliano anaweza kukupatia majibu
 
Habar wakuu
Nimekuwa nikifuatilia sana juu ya uuzaji wa vifaa vya eltrinia zenji lakin watu wanaofanya biashara hii wamekuwa hawatak kusema ni wap wananunulia kwa zenji.Naomb kufahamishwa wap wanauza vifaa used kwa zenji mana ukienda maduka mengine zenji hyana tofauti na ya dsm asanten
Pole sana mkuu. Zanzibar ni maeneo ya mtendeni makao makuu ya Chama cha wananchi Cuf . sio mbali sana na bandarini na ni pua na mdomo na Mjini Darajani. Nafikiri nimekusaidia.
 
Asante mkuu

Pole sana mkuu. Zanzibar ni maeneo ya mtendeni makao makuu ya Chama cha wananchi Cuf . sio mbali sana na bandarini na ni pua na mdomo na Mjini Darajani. Nafikiri nimekusaidia.
 
Back
Top Bottom