Habari ya muda huu.. Nahitaji kupata sehemu ya kuishi Mwanza mjini kwa muda wa mwezi mmoja mpaka mwezi mmoja na nusu kwa ajili ya kazi fulani inayonipeleka huko. Sio mwenyeji sana wa mji wa...
Price: 500,000/=
Washing Programmes: 5
Wash Load: 6.0 Kg
Type of Washing Machine: Fully Automatic
Control Type: Silver Nano
Display Type: Digital display
Loading Type: Top Loading
Contact...
Natafuta chumba na sebule vya kupanga maeneo ya kimara,isiwe mbali sana na barabara . Self, tiles,maji, umeme wa kujitegemea,ikiwa kwenye fence itapendeza zaidi,
Kichwa cha habari chajieleza, Kuna nyumba imeishia kwenye lenta inauzwa sh. Milioni 18.5 kiwanja kina ukubwa Wa upana mita 15 na urefu 19. Nyumba ipo kigamboni. Picha yajieleza hapo kwa undani...
Ndg zangu nina uhitaji wa mfanyakazi wa ndani sana sana..nipo serious katika hili kwani kwa sasa katika familia yangu kuna majukumu machache yametuelemea mimi na mke wangu hivyo akiwepo mfanyakazi...
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino mwishoni karibu na Modeko.
Ina vyumba 11 kwa ajili ya kupangisha.
Ina hati na kiwanja kimepimwa, maji na umeme vipo na havikatiki 24hrs maana line yake inatumia...
Tunanunua vitabu vya zamani.
1. Viwe kwa lugha ya kiingereza vilivyochapishwa Marekani au Uingereza miaka ya 1970 kurudi nyuma.
2. Viwe ni toleo la kwanza (first edition)
2. Visiwe vitabu vya...
uyo jama shenzi type kweli kaingilia love life ya boss wake Diamond .. kabla ata hajafukuzwa rasmi ...kakimbilia instagram kuwadanganya watu eti ameacha kazi ... kwani kuachishwa kazi si kawaida...
Nauza viwanja @meter 50 urefu upana 25 (square meters 1250) bei Tshs 500,000 ( laki tano)
Viwanja vipo Eneo la Makurunge- Bagamoyo unaingia km 15 kutoka barabara kuu ( Bagamoyo- Msata) na njia ya...
Poleni kwa majukumu ndugu zangu, ninauza shamba langu ukubwa wa heka 1.5 kwa Tsh. 2,500,000/=
Shamba liko Bomang'ombe karibu na kituo cha Kwa kiliwe kama unaelekea Moshi, shamba ni langu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.