mboni1981
Member
- Mar 5, 2018
- 12
- 6
Kuna Jamaa nimeona wakitangaza App na Website yao ya www.becapi.com na app yao kwa jina la BECAPI. Nimependa vitu vilivyomo ila naogopa Kulipa kwani wanasema unalipa then wanakuletea Bidhaa mpaka ulipo. Na Muuzaji wanasema hapewi Fedha uliyolipa mpaka wafanyakazi wao wachukue bidhaa uliyolipia.
Waungwana fuatilieni kujua Ukweli na Uhalili wa Hawa Jamaaa isije kuwa Kimeo maana haya mambo ya 1.5trn yametushitua.
Waungwana fuatilieni kujua Ukweli na Uhalili wa Hawa Jamaaa isije kuwa Kimeo maana haya mambo ya 1.5trn yametushitua.