Ni nyumba kubwa ya vyumba 11 na frame nje
Ukubwa wa kiwanja ni 25 kwa 23
Umeme na maji masaa 24
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino
Bei ni shilingi 20,000,000
Karibuni
Natanguliza shukrani,,husika na mada tajwa hapo juu nahitaji simu ya tecno CX kwa tsh 200,000
Iwe nzuri isiwe imechoka sana napatikana kigamboni bridge (daraja la nyerere)
Call 0688811110
MABINGWA WA KUFUNGA # CCTV_CAMERA
IP CAMERA NA ANALOGY CAMERAS
KWA BEI NAFUU
TUNAPATIKANA MBEYA MAGOROFANI
KWA MAWASILIANO TUCHEKI
+255758480744 au
+255754547888 au
+255623501733 au
+255757611181...
Habari,
Nina kilo 10 za korosho zilizobanguliwa kutoka Mtwara, nahitaji mnunuzi wa kilo kumi zote.
Bei: 23,000 Tsh kwa kilo 1.
mahali: Kigamboni, Dar Es Salaam
Asanteni.
Kama kichwa cha hbr kinavyosema,ninahitaji boxer BM 150 iliyo ktk hali nzuri iliyotumika si zaidi ya mwaka mmoja.Mwenye nayo aje PM tufanye biashara
NB.Nipo Dar es Salaam
Ndugu. Husika na kichwa cha habari hapo juu , nahitaji line ya uwakala Mpesa.. Nipo mwanza nyamagana.
Nahitaji haraka ndani ya wiki Moja, hivyo njia rahisi ni ipii yakujisali Vodashop au...
pekin ducks,au bata mwenye nyama na mtamu zaidi,ni bata anayetaga mayai mengi na mwenye faida sana.bei pair ni Tsh 230,000/- yaani dume na jike.tuwasiliane 0713246244.napatikana mbezi beach njia...
JAMANI HII FAIDA KWANGU NA KWAKO PIAKAMA UNAGALI LOLOTE DOGO AMBALO LIPO KWENYE HALI INZURI KAMA , , SPACIO,CARINA, R, RACTIS, IST, VITS NKMIMI NI DEREVA WA UBER NAHITAJI TUANDIKISHANE MKATABA KWA...
Nauza laptop kwa bei ya kutupwa kutokana na ukata unaonikabili.
SPECIFICATION
Processor 2duo core
Ram 4gb
Hdd 250
Dvd rw
Bei ni sh 270,000 maelewano yapo kwa seriously buyer kwa mawasiliano...
Poleni na majukumu. Wadau nahitaji fremu ya biashara maeneo ya mwenge na makumbusho stendi, au mitaa iliyochangamka yenye mzunguko wa watu sana kama shule, makanisa,hospitali n.k Aliye na...
Habari zenu wapendwa nashona mabegi yenye picha mfano watoto WA shule naweka picha yake Jina na cartoon anayopenda pia mabegi ya company au shirika karibuni Sana
What's aap au call 0716973403
Je wewe ni fundi wa welding,mwenye uwezo wa kutumia TIG na MIG welding machine . Una ujuzi wa kutengeneza grills za madirisha , milango, vitanda pamoja na mageti . Je na uwezo wa kufanya kazi...
Habar wakuu
Nimekuwa nikifuatilia sana juu ya uuzaji wa vifaa vya eltrinia zenji lakin watu wanaofanya biashara hii wamekuwa hawatak kusema ni wap wananunulia kwa zenji.Naomb kufahamishwa wap...
Nauza mini laptop aina ya acer aspire one kwa sh 140,000/= yenye sifa zifuatazo
HDD: 160GB
RAM: 1GB
PROCESSOR: intel atom @1.6ghz
BATTERY CAPACITY : inakaa na chaji kwa masaa matatu kwa matumizi...
Habari! Wakuu kama kichwa kinavosema hapo juu ombi lenu kwenu kama kuna wtaalamu waje na offer zao nina mteja anahitaji hii huduma,mazingira ya kufunga hiyo camera yako hivi ni Saloon ya room moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.