Nahitaji pikipiki aina boxer BM 150 budget 1.2 million

Nahitaji pikipiki aina boxer BM 150 budget 1.2 million

mps

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
406
Reaction score
588
Kama kichwa cha hbr kinavyosema,ninahitaji boxer BM 150 iliyo ktk hali nzuri iliyotumika si zaidi ya mwaka mmoja.Mwenye nayo aje PM tufanye biashara

NB.Nipo Dar es Salaam
 
Ziko nyingi Kupatana.
Mie nimenunua kwa Ml.1 jana.
Ukiwa na bahati unaweza kupata hata kwa pungufu ya fedha hiyo uliyoitenga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom