Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanajamii forum, naitaj kupata msaada kwa mtu alie mwanza anielekeze mahali napoweza kupata samaki wabichi kwa bei nzur nataka nianze biashara hiyo nanunua na kuwakaanga arafu nauza sina...
0 Reactions
3 Replies
849 Views
Habari wandugu Naomba msaada wa kujulishwa sehemu nitakayoweka kupata aina hii ya sabuni (shaza soap) kwa bei ya jumla hapa dsm , mi napatikana ubungo riverside
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nina usafir binafsi nasafir kutoka mbeya kuelekea dodoma , nahitaji watu sita wa kupiga nao story njia kwa bei rahis watakayonichangia mimi Mbeya mpaka iringa 10000 Mbeya mpaka dom 18000...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naomba kujuzwa bei ya cement nikiinunua direct kutoka kiwandani. Au kama kuna mfanyabiashara wa cement naomba aje PM tuongee biashara nahitaji large quantity of cement kila week. Nashukuru...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hard disk 500gb tsh70000. Wireless huawei line zote 4g tsh75000. Nicheki 0754 604567 call sms whatspp
0 Reactions
2 Replies
670 Views
Habari wandugu naomba anaejua nitakapopata power supply ya Haier smart TV 32inch Asante
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Habari, ninatafuta kampuni inayofanya export ya nyama hasa export ya utumbo wa ng'ombe( beef omasum). Kama unafanya au unamfahamu anaefanya hiyo biashara naomba tuwasiliane. 0652601602
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau natumaini hamjambo Naomba kwa anayeweza au anayefahamu hivi gharama za kusafirisha mizigo ya kifamilia toka Moshi kwenda kigoma inaweza cost tsh ngapi?? maana nategemea mwezi disemba...
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Namba hii hapa 0757802404 mkamateni sasa mpuuzi huyu!!
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Grams 52 bei 180000 nicheki 0715407585
0 Reactions
3 Replies
2K Views
“Sub-Woofer” aina ya Aborder AB 831BT kama inavyoonekana katika picha, inauzwa kwa bei ya shilingi laki moja tu (sh.100,000/=) bila punguzo. Vilevile pata “Deep Fryer” kama inavyoonekana kwenye...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Full Dell Desktop with accessories on sell; - Processor: Core i7, 3.4Ghz - RAM: 8GB - HDD: 500GB - Graphic Card: Nvidia GeForce GT 710, Total size 6GB - Clean condition - Excellent for office...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba nzuri yenye uimara inauzwa -ina vyumba vitano vya kulala -ina ukumbi mdogo wa sinema -ina nyumba ndogo ya wafanyakazi -ina ofisi Iko latika eneo la ukubwa wa 4329 sqm Eneo ni mbezi juu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji Fundi mzuri wa Engine ya RAV4 hapa DAR. Anae mfaham naomba anijukishe. Mimi naishi Tabata ila popote namfuata. Aweke na mawasiliano ili iwe rahisi kumfikia
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama wewe ni mnunuzi wa uhakika, au una mnunuzi mwenye uhakika nicheki inbox upate nyumba nzuri na imara yenye -vyumba vitano vya kulala -sebule -sehemu ya chakula na jiko -ukumbi mdogo wa sinema...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
WADAU, NATAFUTA SHAMBA LA KUNUNUA MKOANI MOROGORO KWAAJIRI YA KILIMO KIKUBWA. LIKIWA KARIBU NA CHANZO CHA MAJI ITAFAA SANA. NAITAJI EKA 50-100. AHSANTE.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Xiaomi mi 5x Ram 4GB Capacity 64GB Dual camera 12MP+12MP Battery Capacity 3080mAh Clean condition has a minor crack on kwenye screen kwa juu bei 350k Mawasiliano : 0746142301 Location :DSM
0 Reactions
1 Replies
402 Views
Habari Wakuu, Nimatumaini yangu Wote wazima na Mnaendelea na Shughuli zenu za Kila Siku Kama Kichwa cha uzi huu kinavyojieleza nahitaji Video Editor App Androids na pia kama Zipo kwa Matumizi...
0 Reactions
2 Replies
869 Views
Habar ya asubuhi wenzangu .nnahitaji vanilla nyingi au naamaanisha mzigo wa vanilla ambazo hazijakamuliwa .naombeni mnielekeze mahali zinapopatikana au ambae anazo anijulishe ntashukuru sana...
0 Reactions
3 Replies
629 Views
Back
Top Bottom