Habari wanajamii forum, naitaj kupata msaada kwa mtu alie mwanza anielekeze mahali napoweza kupata samaki wabichi kwa bei nzur nataka nianze biashara hiyo nanunua na kuwakaanga arafu nauza sina...
Habari wandugu
Naomba msaada wa kujulishwa sehemu nitakayoweka kupata aina hii ya sabuni (shaza soap) kwa bei ya jumla hapa dsm , mi napatikana ubungo riverside
Nina usafir binafsi nasafir kutoka mbeya kuelekea dodoma , nahitaji watu sita wa kupiga nao story njia kwa bei rahis watakayonichangia mimi
Mbeya mpaka iringa 10000
Mbeya mpaka dom 18000...
Wadau naomba kujuzwa bei ya cement nikiinunua direct kutoka kiwandani.
Au kama kuna mfanyabiashara wa cement naomba aje PM tuongee biashara nahitaji large quantity of cement kila week.
Nashukuru...
Habari, ninatafuta kampuni inayofanya export ya nyama hasa export ya utumbo wa ng'ombe( beef omasum). Kama unafanya au unamfahamu anaefanya hiyo biashara naomba tuwasiliane. 0652601602
Wadau natumaini hamjambo
Naomba kwa anayeweza au anayefahamu hivi gharama za kusafirisha mizigo ya kifamilia toka Moshi kwenda kigoma inaweza cost tsh ngapi?? maana nategemea mwezi disemba...
“Sub-Woofer” aina ya Aborder AB 831BT kama inavyoonekana katika picha, inauzwa kwa bei ya shilingi laki moja tu (sh.100,000/=) bila punguzo.
Vilevile pata “Deep Fryer” kama inavyoonekana kwenye...
Nyumba nzuri yenye uimara inauzwa
-ina vyumba vitano vya kulala
-ina ukumbi mdogo wa sinema
-ina nyumba ndogo ya wafanyakazi
-ina ofisi
Iko latika eneo la ukubwa wa 4329 sqm
Eneo ni mbezi juu...
Wakuu nahitaji Fundi mzuri wa Engine ya RAV4 hapa DAR. Anae mfaham naomba anijukishe. Mimi naishi Tabata ila popote namfuata. Aweke na mawasiliano ili iwe rahisi kumfikia
Kama wewe ni mnunuzi wa uhakika, au una mnunuzi mwenye uhakika nicheki inbox upate nyumba nzuri na imara yenye
-vyumba vitano vya kulala
-sebule
-sehemu ya chakula na jiko
-ukumbi mdogo wa sinema...
WADAU,
NATAFUTA SHAMBA LA KUNUNUA MKOANI MOROGORO KWAAJIRI YA KILIMO KIKUBWA.
LIKIWA KARIBU NA CHANZO CHA MAJI ITAFAA SANA. NAITAJI EKA 50-100.
AHSANTE.
Xiaomi mi 5x
Ram 4GB
Capacity 64GB
Dual camera 12MP+12MP
Battery Capacity 3080mAh
Clean condition has a minor crack on kwenye screen kwa juu bei 350k
Mawasiliano : 0746142301
Location :DSM
Habari Wakuu,
Nimatumaini yangu Wote wazima na Mnaendelea na Shughuli zenu za Kila Siku
Kama Kichwa cha uzi huu kinavyojieleza nahitaji Video Editor App Androids na pia kama Zipo kwa Matumizi...
Habar ya asubuhi wenzangu .nnahitaji vanilla nyingi au naamaanisha mzigo wa vanilla ambazo hazijakamuliwa .naombeni mnielekeze mahali zinapopatikana au ambae anazo anijulishe ntashukuru sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.