Mahitaji yako Ni kiasi ganiHabari wandugu
Natafuta mtu (mwenye bidhaa za nafaka kama Maharage,mahindi,choroko n.k) atakayekuwa ananisafirishia kwa bus kwa bei ya jumla. Mi napatikana DSM kimara. Kama unazo njoo pm tuyajenge zaidi
Ok ina maana ndo unakwenda kuanza biashara hii,bei ya mazao inabadirika kufuatana na Mahitaji, nilitaka kujua makadirio yako kwa bidhaa zoote yaani maharage,mchele, karanga pia mahindi utachukua labda ton 15 au zaidiItategemea na bei ya muuzaji, nitaanza kidogo kujaribu soko, soko likikubali tutaendelea kufanya biashara zaidi na zaidi
Mmmmh tani nyingi sana mkuu, niliataka nianze na kg 20 za Maharage then wateja wakijitokeza kwa wingi niwe nachukua kg100 100Ok ina maana ndo unakwenda kuanza biashara hii,bei ya mazao inabadirika kufuatana na Mahitaji, nilitaka kujua makadirio yako kwa bidhaa zoote yaani maharage,mchele, karanga pia mahindi utachukua labda ton 15 au zaidi
Bei be
Kwa kiasi unaweza chukua hapo mjini tu, hata ukichukua shamba gharama za kusafirisha zinakuwa kubwa na kumaliza faida kwa maana hiyo itakuwa hasaraMmmmh tani nyingi sana mkuu, niliataka nianze na kg 20 za Maharage then wateja wakijitokeza kwa wingi niwe nachukua kg100 100
Kuna mmoja alikua anauza 1300/kg anakuletea mpak ulipo freely,na kulipa ni cash on delivery baada ya kuridhika na mzigoKwa kiasi unaweza chukua hapo mjini tu, hata ukichukua shamba gharama za kusafirisha zinakuwa kubwa na kumaliza faida kwa maana hiyo itakuwa hasara
soya beans ni yale ya njano au?Mwenye maharage ya soyalishe (soybeans) and maharage mekundu (red kidney beans) aje inbox
kuna uhitaji mkubwa mahali.
akiwa mkulima halisi itapendeza au awe anatoa straight from the farmers
Kibaha hatuna mashamba nafaka nenda morogoroHabari wandugu
Natafuta mtu (mwenye bidhaa za nafaka kama Maharage,mahindi,choroko n.k) atakayekuwa ananisafirishia kwa bus kwa bei ya jumla. Mi napatikana DSM kimara. Kama unazo njoo pm tuyajenge zaidi
Huu utani sasaMmmmh tani nyingi sana mkuu, niliataka nianze na kg 20 za Maharage then wateja wakijitokeza kwa wingi niwe nachukua kg100 100