Nauza inverter yangu

Nauza inverter yangu

Akilimali22

Senior Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
168
Reaction score
90
Nauza invetor yangu mascot shine wave bei 900,000/-tsh .input 12 dc output 230 ac 1000w
20180428_090040.jpg
 
Hivi hizi kazi yake ni nini! mkuu naomba ka elimu kidogo, samahani lakini.
 
Hivi hizi kazi yake ni nini! mkuu naomba ka elimu kidogo, samahani lakini.
Kazi yake kubwa ni kubadilisha umeme wa DC kuwa wa AC.

Ukiwa na betri zenye kutoa volt 12dc inaweza kukuzalishia volt 220-2240ac kama wa tanesco.
 
Inahifadhi umeme? Sijuagi hizi mambo kabisa, ndio zile unafunga kwenye Solar? Power inverter?
 
Inahifadhi umeme? Sijuagi hizi mambo kabisa, ndio zile unafunga kwenye Solar? Power inverter?
Ukiwa nayo hii unaunga solar, battery (itakuwa inatunza moto wa kutoka kwenye solar), then inverter hiyo then vifaa vinavyutumia umeme...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom