God knows
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 276
- 173
Habarini wakuu,
Nina pikipiki mbili mpya, SANLG na zishalipiwa vibali vyote.
Swali langu ni hili, je kuna makampuni ya courier services ambayo naweza kuwakodisha wakawa wananilipa kwa mwezi?
Au kama kuna any other alternative ya kuzitumia hizi kupata kipato cha nyongeza. Sitamani kuzitumia kama bodaboda.
Nahitaji mawazo na ushauri wenu wadau wa JF.
Nina pikipiki mbili mpya, SANLG na zishalipiwa vibali vyote.
Swali langu ni hili, je kuna makampuni ya courier services ambayo naweza kuwakodisha wakawa wananilipa kwa mwezi?
Au kama kuna any other alternative ya kuzitumia hizi kupata kipato cha nyongeza. Sitamani kuzitumia kama bodaboda.
Nahitaji mawazo na ushauri wenu wadau wa JF.