Natafuta Laptop

Natafuta Laptop

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,199
Natafuta Laptop Used mtu aniuzue .

Iwe kwenye hali nzuri
Ram iwe kuanzia 3GB ikiwa 5GB itapendeza .
HDD iwe 500GB na kuendelea.

Bajeti yangu ni 300k to 250k kulingana na ubora wa PC yenyewe.

Nipo Napatikana Dodoma.

Mawasiliano zaidi njoo PM
 
Kwa bajeti hiyo na demand zako ni bora ununue Tecno tuu,

Nadhan unalinganisha Laptop na zile Radio zenu za kanda,

By the way jina lako limesadifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom