[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata picha za baiskel hatuzioni, isije ikawa bambucha ambayo kwa huku mtu akichacha anakuuzia hata 40,000/=
ungeweka Na picha ili watu waithaminisheHabari zenu wakuu,
Naitaji Tsh 90000/= kwa ajili ya kulipia pango,naweka bond baiskeli yangu ambayo ni Tubeless tyres,Nipo Arusha.
Tafadhari Naitaji msaada wako.Ni PM
Mnafanya exchange kwa simu, unatuma hela kwa m-pesa, yeye anakutumia baiskeli kwa M- baiskeli. Download app fasta ili uweze kupokea baiskeli yakoAisee,..ngoja waje waliopo arachuga
Faster kabla bomu la avata yake halijalipuka.Mnafanya exchange kwa simu, unatuma hela kwa m-pesa, yeye anakutumia baiskeli kwa M- baiskeli. Download app fasta ili uweze kupokea baiskeli yako
Pole sana mkuu! Ungekua Dar tungeongeaHabari zenu wakuu,
Naitaji Tsh 90000/= kwa ajili ya kulipia pango,naweka bond baiskeli yangu ambayo ni Tubeless tyres,Nipo Arusha.
Tafadhari Naitaji msaada wako.Ni PM
PichaHabari zenu wakuu,
Naitaji Tsh 90000/= kwa ajili ya kulipia pango,naweka bond baiskeli yangu ambayo ni Tubeless tyres,Nipo Arusha.
Tafadhari Naitaji msaada wako.Ni PM