Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza wallet za kiume za PU-Leather na Cow Leather. Mpya sealed kabisa. Kila wallet elfu 20 tu. Nipo ubungo 0758095750
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau wote nawakaribisha mpate kiwanja maeneo ya Kibada, Kisarawe II, na Muongozo
0 Reactions
1 Replies
838 Views
Habari waungwana, Mimi na Ndugu yangu ( Binamu) Tunatarajia Kuvuna Tani 3 za Tangawizi mkoani Tanga Wilayani Lushoto, Change Direction, Tupeane bei ulipo twende sawa. Dar masoko yetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ina udx compressor Mixer,booster ndogo Naiuza mln 4.3 Ni Mali yangu mwenyewe Mashine ni nzima kabisa Kwa mawasiliano Piga sim 0715591141 dsm Ova
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji mtaalamu wa Lugha anaejua kuandika references kwa style ya APA
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nauza printer zangu aina ya Epson Inkjet, Kwa ajili ya matumizi ya stationery na ofisini. Moja ni L220 na ingine ni L382. Zinafanya kazi zote; Printing, Copying, Scanning (Black & Colored)...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Naomba kwa anayefahamu sehemu ambapo zinapatikana suruali aina ya jeans Kali kwa Dar
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ni 1km kutoka new morogoro road, Maji na umeme vipo karibu! Nyumba ina vyumba vinne, sebule, jiko, choo bafu, stoo Kiwanja ni mita 42*31 Bei mil 60 Mawasiliano 0712 584524
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wote wanaohitaji kiwanja kigamboni Marnie ya kibada,kisarawe II Na Muongozo, naomba tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale walioko mikoa ya dodoma na singida, ninahitaji alizeti gunia 500 za alizeti. yeyote anayeuza aje inbox nitampa mawasilino tufanye mazungumzo. sio lazima uwe umeshavuna hata kama bado...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Achana na kupanga frem. Ofisi inayohama hii hapa. Au iite kambi popote. Ina ukubwa wa ft 8 × 7. Ipo Dar Bei 1.3
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa wahitaji wa Huduma ya mtandao wa FFARS na TRA katika shughuli za kifedha kwa SHULE za msingi na sekondari,tunaweza kuwasiliana kwa namba 0620191802 kwa Huduma ya kimtandao muda wote. Usikwame...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
BN ALUMUMINIUM SHOP INAWATANGAZIA PUNGUZO LABEI KWAWALE WOTE WANAO HITAJI BIDHAA ZITOKANAZO NA ALUMINIUM """"" KAMA VILE MADIRISHA,MILANGO,MAKABATI,PARTITION,MEZA, N.K KWAUPANDE WAMADIRISHA...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Offer ya Domain Registration Pamoja na Transfer >com >net >org Bei ni Tsh 16,000/- kwa mwaka 0764178822
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi wana JF, Nina kiwanja changu kipo maeneo ya Kigamboni sehemu iitwayo Mwasonga, kituo cha daladala kinaitwa Mwembe mdogo karibu kabisa na ulipo mradi wa NSSF wa ECO house. Viwanja ni viwili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
] radio ya sony pamoja na meza yake 900,000/= Kitanda na godoro lake 700,000/= Dressing table 200,000/= Air conditioner 450,000/= Kabati la nguo 250,000/= Kabati la vyombo 350,000/= Sofa set full...
9 Reactions
224 Replies
36K Views
Gari nissan tiida inauzwa Bei 4,500,000/- Inahitaji service,kuweka Engine oil,Gear box oil,kubadilisha filter Gharama ya fundi kwa service zote unakabidhiwa gari ni 500,000/- picha check...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Intel celeron N2840 2.16ghz 4gb ram DDR 3 500GB HDD 1.5gb graphics 5hrs battery Problem touchpad ina wenge Inatumia zaidi mouse ya nje Ila ni nzima kila idala na inafanya kazi vizuri Bei...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Tunauza used laptop za kila aina ya brand kwa bei rahisi kuanzia 250,000/= . Dell,Hp, Lenovo, n.k contact: 0718235364 Kariakoo Pia tunatoa huduma za I.T, Computer & printer repair, cctv camera.
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Ninauza simu hii ninayoitumia Tecno W5 ni nzuri haina tatizo, nauza kutokana na dharura iliyonipata, now bado ni mpya na ni nzuri Bei ni 150,000/= Nioe namba nikupigie
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom