Natafuta Laptop Used mtu aniuzue .
Iwe kwenye hali nzuri
Ram iwe kuanzia 3GB ikiwa 5GB itapendeza .
HDD iwe 500GB na kuendelea.
Bajeti yangu ni 300k to 250k kulingana na ubora wa PC yenyewe...
Habari.
Nauza smartwatch/fitness tracker mpya sealed yenye kufanya yafuatayo:
-Inapima mapigo ya moyo (heart rate monitor in bpm).
-Ina monitor muda uliolala (sleep time monitor)
-Ina hesabia...
Wallet za kiume za PU-Leather soft zinauzwa. Zina card slots, zipped notes pocket.
Zinauzwa elfu 15 tu kila moja. Wallet ni mpya sealed.
Nipo Ubungo DSM 0758095750
Gari nzuri inavutia sana kama inavyoonekana kwenye picha ni gari ilyotumika kistaarabu sana uwezi ata kuilinganisha na namba d ya sasa iv gari inaishi mbezi tairi mpya Sony music ndani na mmiliki...
Wakuu, hiyo Friji hapo inauzwa
bei yake ni 200,000 maongezi kidogo yapo.
Bado iko vizuri na inachapa kazi haswa!
Ukiweka maji humo ama kinywaji chochote kinaganda kama jiwe.
karibuni. Nb. Iko...
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo,
Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi
Wote mnakaribishwa kuweka order zenu
+255752563313
Mme amkaje.
napatikana dar es salaam.
nahitaji watu au shule za kuwauzia novels za watoto kwa bei nzuri kabisa na nyongeza.
novels ni za watoto na wakubwa.
WATOTO
*kuanzia chekechea(picha nyingi...
Nyumba kubwa
Vyumba vya kulala 4
3 choo ndani, 1 choo nje,
Sebule , jiko na sehemu ya kulia.
Nyumba ndogo
Vyumba vya kulala 2
2 choo ndani
1 choo nje
Sebule
Bei ya kupanga milioni 1 kwa zote...
Wakuu nauza container ya 20ft iliyo katika hali nzuri USD 1,100. Inamilikiwa kihalali.
Pia trucks 113 ambayo inahitaji matengenezo kidogo kwa Tsh 14mil. Tela yake utaipata kwa 13mil ambayo iko...
Kama linavyojieleza, ni kwamba mwaka jana mwezi wa saba nilinunua pampu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Bahati mbaya nilishindwa kuanza msimu ule kwa sababu nilipata matatizo ambayo...
Toyota harrier 4cylinder vvti engine, new model 2003 Bei milioni 23 maongezi yapo kidogo Location Dar es salaam kwa mawasiliano 0659299667 ukihitaji gari aina yoyote nitafute kwa namba hiyo upate...
Ndugu wana jamvi natumai mko poa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa bei ya simu aina ya Samsung. Je kwa laki tano nitapata simu ipi ya samsung kwa hapa dar, iwe mpya na original.
nauza machine ya kuchomelea IPO katika hali nzuri ni Mpya na ya kisasa kabisa inauwezo mkubwa mpaka wa kutoboa chuma bei, 400000!
machine IPO Sengerema mwanza
mawasiliano:0752530592