Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta Laptop Used mtu aniuzue . Iwe kwenye hali nzuri Ram iwe kuanzia 3GB ikiwa 5GB itapendeza . HDD iwe 500GB na kuendelea. Bajeti yangu ni 300k to 250k kulingana na ubora wa PC yenyewe...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
RAV4 Max 1997 inauzwa Tsh 12,000,000 iko kwenye good condition. Ipo Zanzibar
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari. Nauza smartwatch/fitness tracker mpya sealed yenye kufanya yafuatayo: -Inapima mapigo ya moyo (heart rate monitor in bpm). -Ina monitor muda uliolala (sleep time monitor) -Ina hesabia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wallet za kiume za PU-Leather soft zinauzwa. Zina card slots, zipped notes pocket. Zinauzwa elfu 15 tu kila moja. Wallet ni mpya sealed. Nipo Ubungo DSM 0758095750
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Gari nzuri inavutia sana kama inavyoonekana kwenye picha ni gari ilyotumika kistaarabu sana uwezi ata kuilinganisha na namba d ya sasa iv gari inaishi mbezi tairi mpya Sony music ndani na mmiliki...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, hiyo Friji hapo inauzwa bei yake ni 200,000 maongezi kidogo yapo. Bado iko vizuri na inachapa kazi haswa! Ukiweka maji humo ama kinywaji chochote kinaganda kama jiwe. karibuni. Nb. Iko...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hello mate group ya mafunzo. BUXCOIN TANZANIA
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Nataka kusafirisha mzigo kwa njia ya Bahari! Karibu PM kwa maelezo zaidi!
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Accer tablet iconia one 10 B3-A32 KWA MAWASILIANO 0759827138
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo, Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi Wote mnakaribishwa kuweka order zenu +255752563313
8 Reactions
45 Replies
7K Views
Gari aina ya TATA L09 linauzwa. Liko katika hali nzuri limetembea kms 10,600. Bei ni 38 million. Usajili ni T 253 DJQ Mawasiliano. 0754 300 880
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mme amkaje. napatikana dar es salaam. nahitaji watu au shule za kuwauzia novels za watoto kwa bei nzuri kabisa na nyongeza. novels ni za watoto na wakubwa. WATOTO *kuanzia chekechea(picha nyingi...
0 Reactions
5 Replies
857 Views
Nyumba kubwa Vyumba vya kulala 4 3 choo ndani, 1 choo nje, Sebule , jiko na sehemu ya kulia. Nyumba ndogo Vyumba vya kulala 2 2 choo ndani 1 choo nje Sebule Bei ya kupanga milioni 1 kwa zote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna Chumba kiko wazi ni self na kiko ndani ya fensi,kiko Makongo juu CCm Kodi yake 130k kwa mwezi Ukitaka kukiona Nichek pm
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nauza container ya 20ft iliyo katika hali nzuri USD 1,100. Inamilikiwa kihalali. Pia trucks 113 ambayo inahitaji matengenezo kidogo kwa Tsh 14mil. Tela yake utaipata kwa 13mil ambayo iko...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari wanabodi, Kwa wanaofahamu bei za kupangisha chumba/vyumba Buza naomba anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama linavyojieleza, ni kwamba mwaka jana mwezi wa saba nilinunua pampu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Bahati mbaya nilishindwa kuanza msimu ule kwa sababu nilipata matatizo ambayo...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Toyota harrier 4cylinder vvti engine, new model 2003 Bei milioni 23 maongezi yapo kidogo Location Dar es salaam kwa mawasiliano 0659299667 ukihitaji gari aina yoyote nitafute kwa namba hiyo upate...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi natumai mko poa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa bei ya simu aina ya Samsung. Je kwa laki tano nitapata simu ipi ya samsung kwa hapa dar, iwe mpya na original.
0 Reactions
46 Replies
4K Views
nauza machine ya kuchomelea IPO katika hali nzuri ni Mpya na ya kisasa kabisa inauwezo mkubwa mpaka wa kutoboa chuma bei, 400000! machine IPO Sengerema mwanza mawasiliano:0752530592
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…