Fridge inauzwa

Fridge inauzwa

Ronee

Senior Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
155
Reaction score
155
Wakuu, hiyo Friji hapo inauzwa
bei yake ni 200,000 maongezi kidogo yapo.

Bado iko vizuri na inachapa kazi haswa!
Ukiweka maji humo ama kinywaji chochote kinaganda kama jiwe.

karibuni. Nb. Iko makao maku




Napata shida Ku weka picha lkn nikifanikisha soon zitakuwa kwa hewa.
 
Wakuu, any serious buyer naomba anitafute what's up namba 0687332088 nimtumie picha maana kuapload picha hapa imeniwia ngumu sana. poleni kwa usumbufu!
 
Kumbe inagandisha kama jiwe[emoji52][emoji52] hiyo sio biashara
 
Update, nimeweza kuapload picha, karibuni.
IMG_20180531_165103.jpg
IMG_20180531_165135.jpg
 
Hizo ni fridge/freezer? Fridge tangu lini likagandisha?
 
Hizo ni fridge/freezer? Fridge tangu lini likagandisha?
Kwa kukusaidia tu, the upper part hapo ni freezer ina uwezo wa kugandisha na hiyo lower part ni sehemu yenye ubaridi wa kawaida..karibu.
 
Kwa kukusaidia tu, the upper part hapo ni freezer ina uwezo wa kugandisha na hiyo lower part ni sehemu yenye ubaridi wa kawaida..karibu.
Mkuu

Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Umejibu Vema
 
Kwa kukusaidia tu, the upper part hapo ni freezer ina uwezo wa kugandisha na hiyo lower part ni sehemu yenye ubaridi wa kawaida..karibu.
Umelitumia muda gani na nikichukua unanipa warranty ya muda gani? Risit pia si unazo kwa ajili ya kuchek tareh uliyonunulia. Mwisho unapatikana sehem gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom