Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, njoo ujipatie Hard disc (Laptop) pamoja na RAM(4GB) na kioo cha Laptop kwa bei nafuu.
Mawasiliano nicheki kwa 0718274828
Nipo Dar
,Sinza.
Wadau nina shuda sana na Matofali ya namna hii, kwa mwenye ujuzi anijuze tafadhali. Haijalishi yapo mkoa gani, Cha muhimu ni upatikanaji na bei...
Shukran
Habari wakubwa, yale majiko bora kabisa na ya kisasa jikokoa yamewasili tena, majiko haya ni imara na yanadumu miaka zaidi ya kumi, yanatumia mkaa kidg sana na hayatoi moshi, yanaokoa zaidi ya 50%...
Master-bedroom kubwa sana maji yapo yanaflow chooni ,kipo mawasiliano stand kama unaenda sinza
Master-bedroom kubwa maji muda wote full tiles and gypsum plus car parking ...
Bei 150 kwa miezi...
Kwa yeyote mwenye kabati la Alluminium lenye urefu usiopungua futi 3 nalihitaji kwa matumizi ya duka la vipodozi..
Anayekaa maeneo karibu na Kibaha atapewa kipaumbele ili kuokoa gharama za usafiri.
Wanajumuiya wa jf Nina vitabu kumi tu nahitaji kuprint kwa mji wa dar es salaam eneo gani niweze kupata msaada huo nipo morogoro jumatatu nitakuwa dar es salaam tafadhali mje hapa
Kiwanja chenye ukubwa wa ft 100 kwa 90 kinauzwa eneo la chakenge mtaa wa yange yange,kivule,kitunda,kipo karibu na inapojengwa hospitali ya wilaya ya ilala,kinafikika kiurahisi,kina njia ya mtaa...
Habari zenu wana JF. Nahitaji nyumba simple ya kupanga iwe na chumba kimoja na sebule, self contained (yaani choo na bafu kwa ndani).
Isiwe mbali sana na city center na iwe mpya kidogo. Kuhusu...
Mlioko site hapo kuna mhitaji kataka nimsaidie kufikia hadhima yake hii. Anaomba kujua walioko hapo mjini Bukoba chumba cha kuishi cha standard kwa mwezi ni bei gani na mitaa ipi ya kuishi...
Nauza Earphones original za Samsung nimetoa kwenye simu(baada ya simu ya kwanza kupotea) bei yake ni elf 8 tu(hazijatumika hata siku moja-brand new), pia kuna charger ya Samsung nyeupe na ina...
wakuu nauza nokia asha 302 imetumika miezi mitatu tu! kwaiyo bado ipo ktk halinzuri sana pia haina tatzo lolote. sifa za simu ina #whatsap #Internet 3G camera na mengineyo mengi bei ni sh 75000...
Nina Laptop yang ya HP PROBOOK 450 G2 i5, ilipiga shot motherboard, kwaio inatakiwa replacement ya motherboard, Kwa aliyenayo au akanisaidia shm naweza pata. Pesa ipo mda wwt ukinihakikishia km n...
Wapendwa salama?
Natamani kujenga na kuishi Kigamboni kwa siku za baadae, nilkuwa nauliza naweza kupata kiwanja Kigamboni kwa around 2.5m to 3m?
Na utaratibu wake ukoje?
Nilisikia kuna viwanja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.