Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ipo kibaha mkoani A au maarufu kama kwa mkuu wa mkoa nyumba ina makaratasi yote ya umiliki yapo umeme na maji vyote vipo ukubwa wa eneo lina upana wa mita 20 na urefu wa mita 30 (20×30)...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Nahitaji vitambaa special vya kufungia malemba yale ya Nigeria (Gere) mkinisaidia vinapopatikana na bei ntashkuru
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuj kwa yeyote mwenye kujua bei pia aina za mashine nzuri zenye uwezo wa kushona viatu naomba mawazo yenu tafadhali
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nime-design na kuunda game ya electronics,Game hii niliiwaza na kuiunda hivyo wazo likawa kweli. Game hii nimeiunda kwa vifaa vya electronics sijatumia programic card yeyote. JINSI GAME...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
UPDATE--> IMESHAUZWA Iko na $13 na imetumika zaidi ya mwaka. NB: Imetoa pesa .
0 Reactions
2 Replies
704 Views
Mpya Tsh 35,000 Verified Tsh 60,000 Ni pm kama unahitaji
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Mitsubishi challenger cc 3490 very well maintained, performed well clean For sale. 15,000,000/- call 0713282971 And Avensis Premium cream leather seats, immobilizer, cc1990, 17 original rims...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TSh400,000 Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi ipo mbezi njia ya Goba ina vyumba 3 vya kulala vyumba vyote ni master bedroom, na choo cha public, sebule kubwa, dining room, jiko kubwa la...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Pikipiki inauzwa, sanlg CG 125cc. Ipo katika hali nzuri,kadi ipo. Location ni Dodoma mjini. 1.2M. Mwenye uhitaji aniPM.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
TSh350,000 Hizi apartment zipo 4 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio ipo wazi ina vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master, sebule kubwa, dining, jiko na choo cha public maji dawasco masaa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
TSh400,000 Vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master, sebule, jiko lenye makabati, na choo cha public maji dawasco masaa 24 bei ni 400k x 6 ipo kimara baruti upande wa kushoto km unaelekea mbezi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kichwa cha habari kinahusika, Natafuta fundi wa welding mwenye generator na machine ya welding. Mi Naishi mpiji magoe mbezi ya kimara ambako umeme haujafika ninakazi ya siku moja. Ninatafuta fundi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini... naomba kuuliza vilipo viwanda vya pedi kwa ajili ya wanawake na kiwanda cha baby diapers jijini dar es salaam. Nina uhitaji wa kufika huko na sipajui,,, msaada wa maelekezo ya uelekeo...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza shamba langu mwenyewe lipo nala mjini dodoma ukubwa ni heka tatu kila heka moja ninauza laki saba(700000) tu ninauza sababu ya ninaumwa nilipata ajali week iliyopita sasa mfukobumeyumba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimemaliza kidatocha sita mkoani Mbeya wilaya ya Kyela Lakini sikufanikiwa kupata Chuo ..nikanza kuza vifaa vya simu kama makasha chaji.n.k lakini sijajua sehemu ambapo nichimbo la bidhaa izo kwa...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
(1) SPEED HD S1(SUPPORT SIM CARD & MODEM FOR IPTV STREAMING) (2) STRONG SRT 4669X (3) HUMAX IR HD 1000 Bei kwa zote 180000/
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu,kwa wale wazoefu wa shughuli hasa maharusi,naomba tujuzane kumbi nzuri na bei zake kukodisha,kwa maeneo yoyote hapa Dar es salaam. Ziwe za hadhi ya juu kabisa na hata za kati. Naomba...
0 Reactions
22 Replies
20K Views
Heshima kwenu! Naomba kujua wapi naweza kupata hard tonneau cover / bed cover ya Nissan Hardbody (Double Cab). Mwenye nao au anayejua wapi naweza kuupata tafadhali. Ninamaanisha mfuniko wa bodi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nauza printer 4 in one yani ina scan,copy,print na fax kwa shilingi laki 760000, imenumuliwa mwaka jana kwa milioni 3 , hii ni Canon MF i5980dw ni wireless unaweza print bila kuunganisha...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…