Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,640
Nime-design na kuunda game ya electronics,Game hii niliiwaza na kuiunda hivyo wazo likawa kweli.
Game hii nimeiunda kwa vifaa vya electronics sijatumia programic card yeyote.
JINSI GAME INAVYOFANYA KAZI
Game hii inatoa point pale tu itakapo washa taa ya ACTION,ambayo inawaka kwa nusu sekunde mchezaji inatakiwa abonyeze buttons kabla taa hiyo haijazima ambapo akibonyeza button hizo kabla taa ya ACTION haijazima atapewa point 2.Kushoto moja Kulia moja.Kinyume cha hapo mchezaji anakosa point.
Ifahamike pia Ubongo wa Binadamu hutumia muda flani katika kufanya maamuzi baada ya tukio flani,hivyo taa ya ACTION ikiwaka muda wa maamuzi wa kubonyeza buttons lazima uwe speed zaidi ya speed ya taa kuwaka na kuzima.
Kama akili ikiwa slow tu basi utakosa point.
MATUMIZI YA GAME
Kuchangamsha akili na kuburudisha
Kutengeneza ushindani kati ya mtu na mtu.
NB:Kwa yeyete mwenye wazola game tunaweza kuwasiliana na nikamtengenezea.Tuwasiliane
Tazama video hii kwa kufahamu zaidi....