Beah
Senior Member
- Feb 15, 2015
- 127
- 75
Nyumba ipo kibaha mkoani A au maarufu kama kwa mkuu wa mkoa nyumba ina makaratasi yote ya umiliki yapo umeme na maji vyote vipo ukubwa wa eneo lina upana wa mita 20 na urefu wa mita 30 (20×30) bei ni 50,000,000tsh (shilingi milioni 50) mazungumzo yapo kidogo kwa mawasiliano 0652746359.