Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu. Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni)...
3 Reactions
8 Replies
104 Views
Napitia changamoto kubwa mno. Naomba mwenye uwezo wa kukopesha, nitarejesha kidgo kidogo kwa 6 months . Kwa interest atakayosema yeye
0 Reactions
3 Replies
108 Views
0 Reactions
4 Replies
62 Views
Travel Company: Dav Safaris Website: www.davsafaris.com Email: info@davsafaris.com Tel: +256757795781 or +256701412430 Plan the perfect Whale Tour Cape Town with the best whale watching...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Bei/Price🏷️👉🏾TSH 30.8M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA RAV4(EGL) Year: 2007 Engine: 2,360Cc Mileage: 72,000+ Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Android Radio ✨Cruise Control ✅Clean Interior...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM Habari wana JamiiForums, Natafuta mnunuzi wa jumla au mshirika wa biashara ya mchele. Mimi ni mfanyabiashara mdogo kutoka Bonde la Mto Kilombero, Morogoro. Kwa sasa...
0 Reactions
0 Replies
43 Views
Habari wapendwa karibuni TV Aina za Hisense mpya. 32 (kawaida) 370,000 32 (Smart) 450,000 40 (kawaida) 560,000 40 (Smart) 595,000 43 (kawaida) 635,000 43 (Smart) 675,000 Sound bar zpo za Aina...
22 Reactions
2K Replies
39K Views
Heka moja inauzwa Dodoma,inahitaji 15mil tu. Ipo 14km toka mji wa kiserikali na 8km toka ukuta wa ikulu ya chamwino.☎️📞0772774454
1 Reactions
3 Replies
67 Views
KARIBU KWA OFFERS HIZI 1-Fully System ya 300Watts kwa Tsh 1,535,000/= Solar Panels 300Watts - 450,000/= Battery 200Ah- 580,000/= Control Charge 20A- 55,000/= Inveter 750Watts -250,000/= Panels...
5 Reactions
149 Replies
21K Views
Oya wakubwa wa JF kwani ID ni nini na inasaidia nini huku JF mana sie wengine ni wageni jf tunaskia skia tu kila kona ya jf kuhusu id,,id ndio kitu gani kwani na kina saidia nini..?
4 Reactions
10 Replies
145 Views
Habari Wana jukwaa kwa majina naitwa Abdallah Bakari Niko kisemvule pwani ninatafuta kazi ya ukonda wa daladala au Lori au kazi yeyote ya halali elimu yangu ni kidato Cha nne. Ninaomba jamani...
3 Reactions
3 Replies
101 Views
Don't miss out this rare opportunity to secure prime real estate in Dar es Salaam. Plots available for sale; Location: Masaki, Msasani, Mikocheni. •Mikocheni Warioba: On main rd(Mwai kibaki)...
1 Reactions
1 Replies
83 Views
Bei/Price🏷️👉🏾TSH 21M Call📞+255 747 999 927 TOYOTA RACTIS Year: 2013 Engine: 1,490Cc Mileage: 73,000+ Transmission: AUTO ✨Winkers ✨Sport Rims ✨Cruise Control ✅100% Duty Paid ✅Swap Deals...
1 Reactions
0 Replies
75 Views
Unahitaji mashine ya kusaga na kukoboa nikukaribishe utazipata kwetu Pia utapewa ushauri mashine ipi itakufaa kutokana na mazingira yako Tunapatikana tabata Namba zetu 0717209569
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau, mwenye kujua bei na brand za mashine nzuri za nafaka kusaga na kukoboa anisaidie
0 Reactions
17 Replies
5K Views
2026! | NUNUA BIDHAA TOKA MATAIFA MBALIMBALI DUNIANI NA MZIGO UTAKUFIKIA MAHALA ULIOPO UTANGULIZI Je, kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na...
79 Reactions
6K Replies
676K Views
Don't miss out this rare opportunity to secure prime real estate in Dar es Salaam. Plots available for sale; Location: Kigamboni. •Kimbiji: 41km from ferry, 3km inside from Kimbiji rd, 18.3...
2 Reactions
0 Replies
61 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
LETE LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA BEI MAELEWANO NIPO ILALA - DSM Call: 0767953873 whatspp: 0639994549
2 Reactions
3 Replies
130 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoeleza, ninahitaji kioo cha tecno c8 used kwa mtu mwenye nacho plz ni PM tufanye biashara. Location nilipo: Kagera Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom