🛑 USISUBIRI MPAKA BRAKE ZI FAIL! 🛑
Linda maisha yako na ya abiria kwa kupima ubora wa mafuta ya breki kwa haraka na usahihi.
✅ Hupima kiwango cha unyevu kwenye Brake Fluid ndani ya sekunde chache...
🎤 UNIVERSAL & SUPER MICROPHONE RECORDER 🎤
🎙️ SAUTI SAFI. UBORA WA KIWANGO CHA JUU.
✅ Wireless Connection – Muunganiko wa haraka na imara
✅ Plug & Play – Rahisi kutumia
✅ Sauti Safi ya HD – Bila...
Tunatafuta fundi pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.
📍 Location: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam.
Utapata mshahara wa kuanzia kwa miezi 3, kisha...
Habarini wakuu,
Tunauza asali mbichi kutoka Tabora na Dodoma. Ni pure na filtered. Bei zetu ni rafiki:
Nusu lita: 7,000/=
Lita 1: 13,000/=
Lita 5: 60,000/=
Pia unaweza pata lita 20 na kuendelea...
If your company failed to submit its Income Tax Return by 30 June 2026, you should be aware that is liable to a late filing penalty of TZS 300,000 for each month the return remains outstanding...
Habari wanajanvi
Naomba niwapeleke Moja Kwa Moja kwenye lengo husika kama kichwa kinavyosema.
Kuna hii fursa ambayo sisi tumeona tuiite fursa mpya kutokana na uhitaji mkubwa ulionao na...
Je, unatafuta warehouse katika maeneo ya viwandani Dar es Salaam?
Ukubwa kuanzia 200 SQM na kuendelea
Zinapatikana katika maeneo mbalimbali ya viwanda
Zinafaa kwa biashara, uhifadhi wa bidhaa na...
Habari wapendwa,
Jina langu naitwa Jerry, najihusisha na biashara ya uuzaji wa magari ambayo yametumika Tanzania, kupitia uzi huu ntakuwa naweka magari mbalimbali ambayo nmekabidhiwa na wahusika...
Hakikisha unawasilisha hesabu za kampuni yako kwenda TRA kabla ya 30 Juni 2026, tofauti na hapo kampuni yako itakuwa hatarini kulipa faini ya Tshs 300,000 kwa kila mwezi ambao hujawasilisha hesabu...
Kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari tunauza mashine ambazo utaweza kuzitumia kupima mara kwa mara na kujua maendeleo yako.
Mashine ya sukari ina strips 25 za kuanzia...
Wakuu
Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.
Kwa mawasiliano na kufika shambani...
Nguruwe wa miez 2 ni 70k (Chotara)
Nguruwe wa miez 3 wanauzwa 400k
Wapo nguruwe wa nyama pia
Mawasiliano 0796007039
Follow the NGURUWE DODOMA channel on WhatsApp: NGURUWE DODOMA
Kijiji cha Lunguza
Kata ya Lunguza
Wiraya ya Lushoto
Mashamba yapo
0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (KWA MZUNGU)
Unatafuta kiwanja kwenye eneo zuri la makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa yako!
Ukubwa: Mita 20 × 20
Kiwanja kimepimwa
Hati inatolewa moja kwa...
INAUZWA HARAKA! NYUMBA INAYOENDELEA NTENGELE - MILIONI 20 TU 🏡*
UNATAFUTA KUANZA KUJENGA AU KUMALIZIA NYUMBA YA NDOTO? HII NDIO FURSA YAKO!
Nimekuletea Boma kubwa lenye muundo tayari umeanza...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE (KWA PAULO)
📍 Mita 150 kutoka Barabara Kuu ya Mbezi Makabe, kimepakana na barabara kuu ya mtaa.
📐 Kiwanja kimepimwa
Ukubwa: 4,333 m² (Takribani Ekari 1.07)
✅ Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.