Toboa Kisima upate maji ya uhakika

Toboa Kisima upate maji ya uhakika

EVIGT

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2014
Posts
592
Reaction score
564
KWANINI VISIMA VINGI VINAKAUKA KIPINDI CHA KIANGAZI? ☀️🍂

Watu wengi wanachimba visima bila kufanya utafiti wa kina wa maji chini ya ardhi (Geological Survey). Matokeo yake, wakifika kiangazi, maji yanapungua au kukatika kabisa.

Sisi tunatumia mitambo ya kisasa kupima na kubaini penye vyanzo vya maji vya kudumu kabla hatujaanza kuchimba. Usipoteze pesa yako!

📞 Wasiliana nasi leo: 0779380009

0638350039

📍 👇video kisima kilichotusumbu kwa mteja kukwepa Survey..,


 
Kina gani mpaka mnaamua hapa maji hakuna? 100m ? 150m ? zaidi?
Kama hakuna report ya survey, inamaana aliyependekeza kina cha kuchimba anaweza kuwa mteja mwenyewe kulingana na taarifa za majrani wenzake waliochimba au mchimbaji contractor kulingana na uzoefu, so ikiwa kina alichopendekeza mteja kikafikiwa na maji hakuna then inabidi kurudi mezani kujadili gharama za kuzidi kwenda chini mpaka kukuta maji ikiwa mtaafikiana then mashine itapigwa zaidi na zaidi,
Ikiwa kina alipendekeza contractor na maji hayajaowepo inakuwa balaa maana unaweza kulazimu kuchimba zaidi kwa gharama zako ili mteja apate maji uliyomuhaidi, ila kuna kukaachini na mteja ukamwelewesha pia.
300 M ndio conclusions ya dry hole.
 
Kama hakuna report ya survey, inamaana aliyependekeza kina cha kuchimba anaweza kuwa mteja mwenyewe kulingana na taarifa za majrani wenzake waliochimba au mchimbaji contractor kulingana na uzoefu, so ikiwa kina alichopendekeza mteja kikafikiwa na maji hakuna then inabidi kurudi mezani kujadili gharama za kuzidi kwenda chini mpaka kukuta maji ikiwa mtaafikiana then mashine itapigwa zaidi na zaidi,
Ikiwa kina alipendekeza contractor na maji hayajaowepo inakuwa balaa maana unaweza kulazimu kuchimba zaidi kwa gharama zako ili mteja apate maji uliyomuhaidi, ila kuna kukaachini na mteja ukamwelewesha pia.
300 M ndio conclusions ya dry hole.
Kwa hiyo kama mahali hakuna historia ya boreholes; yaani wewe ni wa kwanza kujaribu kuchimba basi risk ni kubwa zaidi. Si ndio?
Nafikiria kuchimba sehemu karibu na kimto ambacho kinaanza kama chemichemi halafu maji yake yako juu ya aridhi kwa 200 mita halafu yanatokomea aridhini.
Kimto hakikauki unless kama ni ukame usio wa kawaida. Fikra zangu ni kwamba yanakotokomea kutakuwa na akiba.
 
Kwa hiyo kama mahali hakuna historia ya boreholes; yaani wewe ni wa kwanza kujaribu kuchimba basi risk ni kubwa zaidi. Si ndio?
Nafikiria kuchimba sehemu karibu na kimto ambacho kinaanza kama chemichemi halafu maji yake yako juu ya aridhi kwa 200 mita halafu yanatokomea aridhini.
Kimto hakikauki unless kama ni ukame usio wa kawaida. Fikra zangu ni kwamba yanakotokomea kutakuwa na akiba.
Mimi siku zote nashauri tufanye survey ila mteja akiona gharama survey then risk atabeba mwenyewe,, underground water yanapatikana kwa kutoboa mwamba izo shallow water huwa zinadanganya mkuu,
 
Back
Top Bottom