Naamin sote mnaendelea vizuri.
Huu ni uzi maalum kabisa special kwa kazi zangu binafsi za sanaa na biashara endelevu. Binafsi ni msanii wa sanaa ya uchoraji, natangaza kaz zangu hapahapa jukwaan...
Habarin wakuu! . Nakodisha mashamba mkoa wa Rukwa wilaya ya kalambo kijiji cha katuka karibu uwekeze kwenye kilimo kama upo interested cont. 0766665515
Shops for rent.
Location:City center, kitumbini area.
Size: 27sqm - 35sqm.
Rental price: $1500 - $3000.
Contact us to schedule a viewing. A small viewing fee applies. 0784 829565, 0767 833345...
Ni kijana nataka kufanya biashara za nafaka mashariki mwa DRC naomba ushauri wa kupata mortar na mashine za kusaga na kukoboa.
Na makadirio ya garama na mapato ahsanteni.
Don't miss out this rare opportunity to secure prime real estate in Dar es Salaam. Plots available for sale;
Location: Dar es Salaam areas.
•Mbagala Chamazi: Industrial area, 14km from Kilwa rd...
🛑 USISUBIRI MPAKA BRAKE ZI FAIL! 🛑
Linda maisha yako na ya abiria kwa kupima ubora wa mafuta ya breki kwa haraka na usahihi.
✅ Hupima kiwango cha unyevu kwenye Brake Fluid ndani ya sekunde chache...
🎤 UNIVERSAL & SUPER MICROPHONE RECORDER 🎤
🎙️ SAUTI SAFI. UBORA WA KIWANGO CHA JUU.
✅ Wireless Connection – Muunganiko wa haraka na imara
✅ Plug & Play – Rahisi kutumia
✅ Sauti Safi ya HD – Bila...
Tunatafuta fundi pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.
📍 Location: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam.
Utapata mshahara wa kuanzia kwa miezi 3, kisha...
Habarini wakuu,
Tunauza asali mbichi kutoka Tabora na Dodoma. Ni pure na filtered. Bei zetu ni rafiki:
Nusu lita: 7,000/=
Lita 1: 13,000/=
Lita 5: 60,000/=
Pia unaweza pata lita 20 na kuendelea...
If your company failed to submit its Income Tax Return by 30 June 2026, you should be aware that is liable to a late filing penalty of TZS 300,000 for each month the return remains outstanding...
Habari wanajanvi
Naomba niwapeleke Moja Kwa Moja kwenye lengo husika kama kichwa kinavyosema.
Kuna hii fursa ambayo sisi tumeona tuiite fursa mpya kutokana na uhitaji mkubwa ulionao na...
Je, unatafuta warehouse katika maeneo ya viwandani Dar es Salaam?
Ukubwa kuanzia 200 SQM na kuendelea
Zinapatikana katika maeneo mbalimbali ya viwanda
Zinafaa kwa biashara, uhifadhi wa bidhaa na...
Habari wapendwa,
Jina langu naitwa Jerry, najihusisha na biashara ya uuzaji wa magari ambayo yametumika Tanzania, kupitia uzi huu ntakuwa naweka magari mbalimbali ambayo nmekabidhiwa na wahusika...
Hakikisha unawasilisha hesabu za kampuni yako kwenda TRA kabla ya 30 Juni 2026, tofauti na hapo kampuni yako itakuwa hatarini kulipa faini ya Tshs 300,000 kwa kila mwezi ambao hujawasilisha hesabu...
Kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari tunauza mashine ambazo utaweza kuzitumia kupima mara kwa mara na kujua maendeleo yako.
Mashine ya sukari ina strips 25 za kuanzia...
Wakuu
Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.
Kwa mawasiliano na kufika shambani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.