Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
tuko wengi mkuu aafu maisha tunameki km kawaaaaMie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu ..
tuko wengi mkuu aafu maisha tunameki km kawaaaaMie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu ..
Tunapanda wote daladala...tunahenyeka wote kitaa....khaaWanasomea wasicho kijua ndio maana havi work walivyo soma kwenye maisha yao 😂😂😂😂.. wa div 3 ya mwisho na wao hatuchekani
😀😀😀😀..Tunapanda wote daladala...tunahenyeka wote kitaa....khaa
Ila hawa wanamaisha ya hovyoo pamoja na hela walizonazo.Na wanyantuzu..masuala ya milion 600 hadu 1b kwao kugusa tu...ukiwaona hawajahi hata kuvaa tai ..
Shida 1 hawajaenda shule...yaan akili zao zimefubaa...so wanaoenda shule utakaa nao mbali mno ..humgusi...Ila hawa wanamaisha ya hovyoo pamoja na hela walizonazo.
Ila maisha haya nyoko sana aisee...Na wanyantuzu..masuala ya milion 600 hadu 1b kwao kugusa tu...ukiwaona hawajahi hata kuvaa tai ..🥵
Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!Ila maisha haya nyoko sana aisee...
Kuna muda unawaza vitu unaishia kutikisa kichwa tu Wallah!!
Forex noma sana. Tukubaliane bado dunia haijaruhusu hela ipatikane kirahisi hivyo.Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
😀😀 nimeandika nikafutaMsijipe moyo. Waliopiga one wengi wao wana maisha mazuri. Sema wengi wanaishia middle class. Wenye one wengi wao kufika daraja la juu kabisa ni changamoto. Huishia lile daraja la kuwa na nyumba moja, gari moja kama crown, spacio na jamii hiyo pamoja na familia inayoishi kizungu. Wale wa div three kushuka chini wengi wao huwa daraja la chini kabisa kimaisha na wachache huwa daraja la juu kabisa... hawakaagi katikati.
Hahahaha kwanini?😀😀 nimeandika nikafuta
kuna mmoja ni daktari bingwa yuko hovyo yaani anakula rushwa mpaka ya bukuMie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
Ah...bas tu aisee!...ila naomba ujue hao watumishi waliopata div 1 wana maisha ya chini sana sana mkuu...sana sana!! Amini tu hivyo...Hahahaha kwanini?
Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Kuna dk mmoja ni bingwa wa kina mama napoishi anakujaga nimkope had 20!yaan anafanyia operation watu lakini mm nakaaga namfikiria najikuta naogopa...ana zaidi ya 15 kazini.ila.hata usafiri hana ..nyumba ya shape L .ndo maana kuna jamaa hapo nimemwambia asiwasemee!kuna mmoja ni daktari bingwa yuko hovyo yaani anakula rushwa mpaka ya buku