reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 11,866
- 27,863
Olevel two ya 19 advance two ya 10(HGE) chuo GPA 3.5 ,Maisha baada ya hapo nayajua mm na moyo wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Olevel two ya 19 advance two ya 10(HGE) chuo GPA 3.5 ,Maisha baada ya hapo nayajua mm na moyo wangu.
1998Dah nilipata two aisee ya mwisho mwisho huko mwaka fulanii hivi ambao ni historia aisee mpaka necta ikarudia paper...
Hakuna 1 ya 18Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;
Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Wameondoa kuanzia 2017penalty ilikua Kiswa,engl,civ na mathsKiswahili ina penalty? Mie nkajua n maths tyuuh.
Ooooh hapo sawaaa,Wameondoa kuanzia 2017penalty ilikua Kiswa,engl,civ na maths
kwa kweli.Ukute hata shule bado hajamaliza huyo kaiba simu ya mjomba wake hajalogout Jf
Sina akili sijawah miliki akilia nyingKama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Kuanzia mwaka huu pia 1 ya Saba unapata bila hata kupata A za hayo masomo mwanzoni ilikua Ili upate point 7 hizo core subject upate A zote ,Sasa hivi ht ukipata B n.k na mengine umefaulu unapata ya SabaOoooh hapo sawaaa,