damtu2 Member Mar 19, 2009 38 6 Jun 28, 2009 #1 Kwa muda nimekuwa nafaidika na mawazo na mchango wenu..asanteni. Naomba kujiunga nanyi iwapo mtanipokea.
Kwa muda nimekuwa nafaidika na mawazo na mchango wenu..asanteni. Naomba kujiunga nanyi iwapo mtanipokea.
GM7 JF-Expert Member Jun 26, 2009 492 24 Jun 28, 2009 #2 Aisee kariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu sana hapa JF umepokelewa.
B Babuyao JF-Expert Member Jun 6, 2009 1,741 272 Jun 28, 2009 #3 Oh, karibu sana kwenye jamvi la JF. Jisikie huru kutoa mawazo yako.