Respect
Member
- Jun 24, 2009
- 28
- 0
Ndugu zangu wote hamjambo humu ndani?
Najiunga rasmi kundini, lakini mimi niko tofauti kidogo kwani "ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu, nimeona kuna resources kibao humu na hazitumiki na watu tunalia njaa. Mie kila ninachikiona nakitafutia tafsiri ya pesa, pesa! but clean money.
Najiunga rasmi kundini, lakini mimi niko tofauti kidogo kwani "ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu, nimeona kuna resources kibao humu na hazitumiki na watu tunalia njaa. Mie kila ninachikiona nakitafutia tafsiri ya pesa, pesa! but clean money.