Wandugu, mimi ni kondoo aliyepotea au mwana mpotevu. Naomba mnipokee nilikuwepo toka enzi za mwalimu ila hapa kati nilikumbwa na mambo mengi ya kidunia. I hope First lady ni yule yule...
Ndugu jamaa na marafiki napenda kubisha hodi humu ndani kwa moyo mmoja naomba kukaribishwa na mlioko humu ndani kwa ushirikiano wenu na kuwa pamojakatika uchangiaji wa hoja mbalimbali, nawatakia...
wacha niwasalimie mlio ndani ya nyumba,kuanzia barazani, ukumbini, bafuni,******, na uwani, natumaini tutakuwa pamoja na nakaribishwa japo kwa glass ya maji ya kunywa
Waheshimiwa Wana JF na wapenda maendeleo wote. Mimi ni mwanachama mupya kabisa nabisheni hodi. Nimeipenda hii forum na nimekuwa msomaji mzuri sana kwa muda mrefu. Sasa ni wakati wangu wa kujumuika...
hodi wana jf,
naombeni mnipokee ili nami niweze kuwa mmoja wa great thinkers,
ili pia nijifunze kuzungumza kwa uwazi bila kuathiri rules zetu,
asanteni wakuu, shukrani zangu natanguliza!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.