Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Habari wana jf, nimekua nikifaidi ya baraza hili nikia kwa nje muda mrefu, sasa nimeamua niingie ndani kwani utamu wa ngoma si kuangalia wengine bali kuingia nakucheza. MASHAKABWA
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana-Jamii. Tunafuraha sana kujiunga katika forum hii na tunategemea mengi mazuri yatajitokeza. Pamoja sana! Kikosi cha Bongo5.com
0 Reactions
11 Replies
1K Views
mambo yameiva, tujadili matatizo ya usafiri wa jiji letu.:mad2:
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Hi dears! Naomba mnikaribishe nina mengi ya kushare na nyinyi wapendwa
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hodi wana jamii. Ni mimi mpenda nchi ndani ya nyumba, tafadhali tuwe pamoja kusongesha gurudumu la maendeleo
0 Reactions
3 Replies
814 Views
WanaJF wote nawashukuru kwa kuwa great thinkers na nawajulisha kuwa nimeamua kujiunga ili tuweze kubadilishana mawazo na kuweza kuikomboa nchi hii. Hongereni sana,na tuko pamoja
0 Reactions
12 Replies
1K Views
tuko pamoja jamani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Napenda kuwasalimia wote humu ndani, nafikiri nitakaribishwa vizuri tu. Pia vilevile sijachelewa kuingia.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamii ninafuraha kujiunga nanyi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salamu zenu wote wa jamvini, napenda kutoa utambulisho kuwa mimi ni Wa mjengoni kule kule zinapozaliwa sheria.Nimekuwa natembelea humu kwa muda mrefu bila kuwa member sasa nadhani nitakuwa karibu...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Heshima kwenu wANA jf. Nimekuwa sipo ktk forum yetu hii kwa kipindi cha karibia miaka miwili kwa sababu mbalimbali. Nafurahi kurejea tena na kujiunga nanyi. Asanteni sana.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani salamaaaaaaa? tuko pamoja.
0 Reactions
1 Replies
696 Views
habari za jioni ndugu zangu! Naombeni mnikaribishe jamvini kw mikono miwili.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hi All! Nice to meet everybody. I glad meet all people.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Member mpya nimeingia, nawasalimia wooote kwa mpigo, amani furaha na mafanikio kwenu nyote. Nawapongeza kwa kazi nzuri ya JF.
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Ndugu zangu nami nimejiunga nanyi nipate kugema busara zenu. Natanguliza shukrani kwa kunikaribisha.
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Nimeingia Mlenga Shabaha: hasira nilizopata kutoka kwa msanii huyu anayejifikiria ndiyo rais wetu jinsi anavyo-deal na wafanyakazi masikini wa nchi hii imenifanya nijiunge na JF ili niwe natoa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi, In The Name of Tanzania, I salute you, both honorable members of Jamii Forum. I am Timothy Uggi, with a teaching profession and computer expert at Don Bosco Seminary Mafinga Iringa. Aspiring...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hodi jamvini, nawapongezeni kwa mijadala mbalimbali inayolenga ustawi wa jamii yetu. Pongezi kwa viongozi na wanajamvi wote.
0 Reactions
2 Replies
938 Views
Salaam nyingi ziwafikie wanajimii wote:wave:, Rafiki yangu alipendekeza nijiunge na kwa kuangalia baadhi ya mazungumzo nimeona ni jambo jema kufanya hivyo. Kwa kweli Tanzania tunahitaji kuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom