Nimeingia rasmi

Bukinabuza

Senior Member
Jun 17, 2008
105
29
Haya haya ndio kwanza naingia kwenye baraza.Nimesoma jamii forum kwa miaka kumi sasa nimefurahishwa na majambo yake. Naomba mnipokee kwa mikono miwili.
 
Haya haya ndio kwanza naingia kwenye baraza.Nimesoma jamii forum kwa miaka kumi sasa nimefurahishwa na majambo yake. Naomba mnipokee kwa mikono miwili.
karibu ila uwe makini na unachokiongea .. hope watakupa rules za JF moja wapo ni kutodanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom