Bukinabuza
Senior Member
- Jun 17, 2008
- 105
- 29
Haya haya ndio kwanza naingia kwenye baraza.Nimesoma jamii forum kwa miaka kumi sasa nimefurahishwa na majambo yake. Naomba mnipokee kwa mikono miwili.
Karibu sana! Hivi JF ina zaidi ya miaka 10??
karibu ila uwe makini na unachokiongea .. hope watakupa rules za JF moja wapo ni kutodanganyaHaya haya ndio kwanza naingia kwenye baraza.Nimesoma jamii forum kwa miaka kumi sasa nimefurahishwa na majambo yake. Naomba mnipokee kwa mikono miwili.
karibu ila uwe makini na unachokiongea .. Hope watakupa rules za jf moja wapo ni kutodanganya
pia na unachokiandika!!!! karibu sanapia na unacho kiosoma!!!! Karibu sana
pia na unachokiandika!!!! karibu sana