Rasmi kwa ajili ya jukwaa la mahusiano..........

Rasmi kwa ajili ya jukwaa la mahusiano..........

Jaluo_Nyeupe

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
2,950
Reaction score
2,489
Wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.
 
Wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.

wooo ma men chilax first chilax b4 u ask any girl out and b4 u ask 4 pm from single ladies ngoja ukaribishwe kwanza.Caribu ndani,i'm sure Preta will be more than happy 2 welcome u to the MMU forum
 
karibu.sijui kwa nini nimevutiwa na wewe....siui kwa vile ni mjaluo mweupe manake wengi ni weusi..:teeth::teeth::whoo:
 
Wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.

omera machiegini!
 
Karibu sana, jaribu kupita na chumba cha wakubwa!
 
wooo ma men chilax first chilax b4 u ask any girl out and b4 u ask 4 pm from single ladies ngoja ukaribishwe kwanza.Caribu ndani,i'm sure Preta will be more than happy 2 welcome u to the MMU forum

Thank you.... but who is Preta?
 
karibu.sijui kwa nini nimevutiwa na wewe....siui kwa vile ni mjaluo mweupe manake wengi ni weusi..:teeth::teeth::whoo:

Asante roselyne1, kama umevutiwa waweza kuni-pm kama wewe ni single lady. Aaah! bana achana na mambo ya rangi we nipende mimi.
 
wooo ma men chilax first chilax b4 u ask any girl out and b4 u ask 4 pm from single ladies ngoja ukaribishwe kwanza.Caribu ndani,i'm sure Preta will be more than happy 2 welcome u to the MMU forum

Thank you.... but who is Preta?

Preta is me....m proud to be your host in here.......come inside....plz
 
Utapata kama utakuwa great Thinker la sivyo utachakachuliwa tu humu
 
Wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.

unaonekana mstaarabu wewe.
Humu tutakuzingua tu. Tupo for fun zaidi. U seriouse kiduchu sana.
 
unaonekana mstaarabu wewe.
Humu tutakuzingua tu. Tupo for fun zaidi. U seriouse kiduchu sana.

Well this is in most forums but ukiingia kwenye Jukwaa la siasa utani ni negligible.
 
Back
Top Bottom