MST
Member
- Feb 21, 2011
- 17
- 1
Wakubwa shikamooni, wadogo mamboz? Naomba mnipokee ili na mimi nikue nipate za kwangu na niweze kuwa Great Thinker, naamini pia hata kwa hatua niliyofikia mimi pia nitaweza kutoa mchango wa kujenga this historic Tanzanian forum na kuendeleza mijadala hasa inayohusu mustakabali wa nchi yetu.
Asanteni! :hand:
Asanteni! :hand: