K kaliakitu2008 Member Feb 21, 2011 61 7 Feb 22, 2011 #1 habari yenu bana, nawasalimu wote naomba kukaribishwa chumba hiki
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Feb 22, 2011 #6 karibu sana mjukuu wangu lakini mbona naona hiii ni post ya 12 , ulianzia wapi? anyway, karibu na tunakupenda sana
karibu sana mjukuu wangu lakini mbona naona hiii ni post ya 12 , ulianzia wapi? anyway, karibu na tunakupenda sana
Babu Lao JF-Expert Member Nov 2, 2010 2,043 179 Feb 22, 2011 #7 Karibu sana mkuu kaliakitu... mmmhhh ila jina lako lina utata kidogo!!!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 22, 2011 #8 Babu Lao said: Karibu sana mkuu kaliakitu... mmmhhh ila jina lako lina utata kidogo!!! Click to expand... Kwani lina maana gani jina hilo babu lao.
Babu Lao said: Karibu sana mkuu kaliakitu... mmmhhh ila jina lako lina utata kidogo!!! Click to expand... Kwani lina maana gani jina hilo babu lao.
M MAMENGAZI JF-Expert Member Dec 31, 2010 780 128 Feb 25, 2011 #9 Karibu chumba ki wazi, pita hadi uwani
semango JF-Expert Member Aug 24, 2010 532 45 Feb 25, 2011 #11 habari nzuri.......karibu sana ujisikie uko nyumbani