Habari za majukumu wakuu poleni na hongereni pia.
Nimekuwa nikifatilia jf Kwa muda mrefu na hatimae nimeona na Mimi nijiunge.
Mimi napatikana dsm, na najishughulisha na ufundi wa Umeme, tv...
Habarini zenu wakubwa! Sina mda mrefu tangu nijiunge jamii forums, sasa kabla sijaanza kishusha NONDO zangu, nimeona bwana ni vyema na ni ustaarabu kwanza kusalimia waenyeji ndio nianze sasa...
Hakika mwenendo wa taifa letu tangu tupate uhuru miaka 50 iliyopita haileweki kwa kila kukicha. Maisha yamezidi kuwa duni na magumu. Kuwa na mfumo wa Kisiasa wa vyama vingi kigeresha. Kwamfano...
Matumaini yangu wote mpo katika afya njema. Nafurahi kujiunga na JF na nadhani kuna faida ya kuelimika ingawa sipati wakati wa kutosha kutembelea JF kwa sababu ya kuwa bize sana, lakini nitajaribu...
Habar wazeenimekua naifatilia JF kupitia Google kwa muda mref. Saiv nimeona nifungue account moja kwa moja.
Japo naona siwez kucomment Wala Nini naimani @moderators au Admins wameniweka kwenye...
mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
Wakubwa shikamooni!! wadogo marahaba hamjambo!! na wale wenzangu habarini za masiku.
Napenda kujitambulisha kwenu katika blog hii. Nawashukuru kwa michango yenu ambayo mingi ni ya kuielimisha jamii.
Baada ya muda mrefu JamiiForums kuwa chanzo changu muhimu sana cha kupata habari muhimu na tofauti tofauti na kwa wakati muafaka hatimae leo nimeamua kujiunga rasmi hapa jamvini. Wakuu heshima...
jamani naomba niwatake radhi kwanza kabla ya yote coz nimeshakuwa humu ndani kama cku ya 5 leö na ckujua kama kuna chumba cha utambulisho pil nhngependa mnikarbrishe kwa mikono miwili na makof ma3...
Asalaam aleikhum kwa mpigo.
Naomba mnikaribishe na majina ya mahoteli au mikahawa ipatikanapo supu ya pweza au pweza wa kuchoma hapa dar es salaam, hasa wilaya ya kinondoni.
Ahsanteni sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.