Hodi humu ndani.
Mimi ni mkongwe wa Jf ila nimekuja kutambulisha ID yangu mpya naombeni ushirikiano wenu.
Loading failed
Error has occured due to insuficient balance.
Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo; Miongoni mwao walao nyama kwa pupa. Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.
................... Mithali 23:20-21...
Habari ndg, jamaa na marafiki, nitakuwa Rayns kwa humu, naombeni mnipokee kama member mwenzenu, nitafurahi mkinielekeza pia namna ya kuishi humu, kuna watu pia na wafahamu kwa taswira ya kufikiria...
Salaamu [emoji4]
Me ni kijana wenu nimo humu kwa muda sasa ila nilikuwa sijajitambulisha naomba mfanye kama ndo mnanipokea wakuu sina mishe yoyote nnayofanya msijeniuliza kazi yangu :D ila...
Mimi ni DALALI ninaewasaidia Wauzaji na Wanunuzi wa Nyumba, Viwanja pamoja na Mashamba kuwakutanisha pamoja ili waweze kufanya biashara kwa haraka zaidi, Nipo MWANZA mjini ila nafanya kazi popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.