Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Baada ya Twitter X kutopatikana nikaona nitafute jukwaa la kutuliza akili Nimegundua JF Inafaa kuliko Insta Nipokeeni wapwa
20 Reactions
189 Replies
6K Views
Hadi hadi! Mimi ni mgeni humu ijapokuwa nimekuwa naangalia kwa mbali yale yanayojadiliwa humu. Nimeamua sasa kujiunga ili pia niweze kuchangia mada na kutoa mada pia. Kama jina langu...
4 Reactions
10 Replies
680 Views
Habari za wakati huu wanajukwaa wenzangu, Naomba nitumie fursa hii kujitambulisha rasmi. Naitwa Joseph Lucas Mkumbo, nina umri wa miaka 38 na ninatokea Utemini, mkoani Singida. Kwa sasa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello wakubwa zangu Ninafuraha kujumuika katika jamii forum...letsay nikama mwenyeji maana nimeanza kufuatilia JF kwenye simu ndogo ya batani.. Naombeni muwe Nami jamani mgeni malikia.thanks...
16 Reactions
114 Replies
4K Views
Habarini wana JF. Kama kuku mgeni nahitaji kukaribiswha. Shukrani za dhati ziwafikie Wana jf.
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Kilichonishawishi Kujiunga na JamiiForums (JF) Karibu miaka ya 2016 hadi 2017, kipindi hicho nilikuwa bado nipo shule Nyumbani nilikuwa naaminika kiasi cha kupewa simu kwa ajili ya...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
My name is Mr Anova
2 Reactions
6 Replies
818 Views
Hodi hodi wana Jf, mimi ni member mpya katika jukwaa hili naombeni mnipokee. Mimi ni mfanya biashara ninayejihusisha na; Kuuza na kufunga CCTV CAMERA. Asanteni.
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari waungwana! Baada ya miezi kadhaa ya kufuatilia mijadala ya JamiiForums kama guest user sasa leo hii ninejiunga rasmi nanyi humu jukwaani. Naombeni mnipokee. Ahsanteni sana.
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Guys nimefika katika JamiiForums kama mgeni wenu tupeane ushirikiano Asante
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Salamu wakuu! Wadau naomba mnikaribishe kwenye nyumba ya Great thinkers kijana mwenye damu changa, mwenye mawazo yanye tija Kwa taifa. Asanteni sana.
4 Reactions
8 Replies
831 Views
Habari zenu, Jamani mi ni mgeni naomba mnipokee nikihitaji ushauri msichoke kunishauri.
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Hey wana jf mi ni mgeni humu jukwaani naombeni mnipokee
3 Reactions
7 Replies
905 Views
🌟Keep Going🌟
1 Reactions
4 Replies
372 Views
Jamani nawaombeni mnipokee ,nimetokea kuupenda huu mtandao tafadhali mnipokee
1 Reactions
6 Replies
744 Views
Naleta ombi langu kwenu nataka kubadili utambulisho wangu hapa jamii forums kutoka Ngara23 kuwa " Mtanganyika" Nahitaji kuanzisha harakati za Kufufua utambulisho wa Taifa la Tanganyika, historia...
8 Reactions
29 Replies
1K Views
leo nimeamua kuingia humu ndani na mimi naomben mnipokee... napenda sana chit chat na mmu.!!! nmekuja na zawadi kibao kwa ajiri yenu.... mmmwwwwaahh
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hello friend
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Salaam, mimi ni mgeni ndani ya nyumba hi naomba mnipokee
2 Reactions
5 Replies
817 Views
Back
Top Bottom