Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Nimekaa na dada mmoja mrembo safarini kwenye seat ya bus amejichubua, ila kama ilivyo ada vidole vya miguuni na mikononi bado vyeusi. Sasa shida huwa ni nini eneo hilo la ngozi kuendelea kuwa peusi?
5 Reactions
17 Replies
929 Views
Naomba mrejesho kwa alotumia tretinoin na positive and negative effects zake
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu? 1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia 2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia...
4 Reactions
4K Replies
973K Views
Kichwa cha uzi kinajieleza. Huu mtindo wa wanawake hasa wanaoishi mjini wa kuvaa nguo/sketi fupi zinazoishia magotini au juu ya magoti halafu wakiwa wanatembea utawaona wanajishika shika hiyo...
20 Reactions
113 Replies
16K Views
Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha. Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi...
33 Reactions
315 Replies
7K Views
Huimbi kwaya, hujaoa ..., wala sio mlokole Unavaaje haya madubwasha?
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Afrika ni Nchi tatu tu zilizo Pata mataji ya walimbwende duniani south Africa, Nigeria na Egypt. 👸🏻 Miss World titles: 🇮🇳 India: 6 🇻🇪 Venezuela: 6 🇯🇲 Jamaica: 4 🇬🇧 UK: 4 🇿🇦 South Africa: 3 🇺🇸...
2 Reactions
25 Replies
837 Views
Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable. Huwa nasikitika sana...
9 Reactions
148 Replies
12K Views
Hair dye reactions Many hair dyes contain ingredients that can irritate your skin or cause an allergic reaction. It's important to be aware of this risk, and know what to do. Reactions to hair...
1 Reactions
1 Replies
361 Views
Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari Ya Asubuhi JF njooni hapa mjue Mavazi Ya Mwanamke Mcha Mungu kama mada ilivyoelezwa MAVAZI YA MWANAMKE MCHA MUNGU [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810]...
0 Reactions
6 Replies
591 Views
  • Redirect
Habari wakuu Moja kwa Moja kwenye topic ya Leo. Nikiwa kama muuzaji suti Tanzania na nje ya nchi napenda kuwakumbusha wateja wangu kuhusu heshima ya vazi la suti. 1. Marufuku kuvaa suti na ndara...
4 Reactions
Replies
Views
Katika vitu ambavyo vinafanya uonekane smart ni kiatu ulichovaa, kama umevaa kiatu kibovu basi hata juu utupie vipi watu watakuona mchafu tu. Naombeni mnitajie raba au kiatu ambacho kinadumu na...
4 Reactions
68 Replies
4K Views
Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani. Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa...
12 Reactions
85 Replies
16K Views
Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k...
5 Reactions
45 Replies
2K Views
Wakuu habari za kazi, Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji jina la MAFUTA au lotion inayong'arisha ngozi bila ya kuchubua. Ngozi ibaki hivyo hivyo natural isichubuke. NB...
6 Reactions
79 Replies
4K Views
Wanawake wenye kujiheshimu, huwezi ona amevaa nguo ambayo akitembea na wakati mwingine hata akiwa amesimama, nguo ya ndani (pindo) zinajichora mpaka inakua albu kumtazama. Mimi naamini huwa...
10 Reactions
38 Replies
3K Views
HABARI KINA DADA WOTE Kina dada wengi hawana tamaduni ya kufanya mazoezi.Wengi wao wamekuwa na vitambi na kuzidi kuongezeka kila siku.Ni nadra sana ukute dada mrembo mwenye watoto wake wawili...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Hello beautiful ladies, ebu tuambizane unapaka dawa gani kwenye nywele zako,na pia unazitunza vp nywele zako baada ya kuweka dawa, kama unafanya steaming unatumia steaming gani na baada ya muda...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Habari Tanzania ! Haya Madera wanaovaa Wamama na Wadada ndio Mavazi ya Taifa au vipi maana wananchi wanayakubali kiaina. Ahsante.
1 Reactions
8 Replies
389 Views
Back
Top Bottom