Utunzaji wa nywele zenye dawa

Pinacoladee

JF-Expert Member
May 22, 2023
359
419
Hello beautiful ladies, ebu tuambizane unapaka dawa gani kwenye nywele zako,na pia unazitunza vp nywele zako baada ya kuweka dawa, kama unafanya steaming unatumia steaming gani na baada ya muda gani unafanya steaming, na pia baada ya kuweka dawa unasuka baada ya muda gani. Simply tuambie nywele zako unazihudumia/unazitunza vp?
 
Kwanini umewaita ladiea peke yake? Unadhani hakuna wanaume wanaotunza nywele!
By the way mimi ni kipara pure kabisa!
 
Kwanini umewaita ladiea peke yake? Unadhani hakuna wanaume wanaotunza nywele!
By the way mimi ni kipara pure kabisa!
Wapo lkn ni wachache sana,wanaowek dawa na kuzitunza, kwanini upara na ww?
 
mie ni naturalista!..natumia cantu products..ila nahis nimechoka ...natamani kurudi kwa relaxer
 
Uzi mzuri huu

Mie relaxer nayotumia ni Mega growth
Steaming natumia hair mayonnaise
Mafuta natumia ya olive

Dawa huwa naweka kwa mwaka mara nne...yaani kila baada ya miezi mitatu
Steaming naweka mara mbili tu kwa mwezi ama mara moja sometimes
 
Wakina dada nywele zinawa taabishana kubwa gharimu pakubwa ,mbona mtindo huu ni mzuri sana unavutia na una kuacha katika uasili wako!
d50d418b3d7c00d33d5c9941d6fcca05.jpg
 
Huu mchemsho wa karafuu unatumiaje?

Naona umenitamanisha
Nunua packet 1 ya karafuu ya sh 500 ..,weka maji lita 1 ya maji chemsha.yale maji oshea au sugulia nywele zikiwa zishakuwa safi....imeisha hiyo
 
Uzi mzuri huu

Mie relaxer nayotumia ni Mega growth
Steaming natumia hair mayonnaise
Mafuta natumia ya olive

Dawa huwa naweka kwa mwaka mara nne...yaani kila baada ya miezi mitatu
Steaming naweka mara mbili tu kwa mwezi ama mara moja sometimes
Mega kwakwel naona ni nzuri + mafuta yake,steaming ivi inategemea na nywele au?au ukishawk dawa unatumia steaming yyte?
 
Mega kwakwel naona ni nzuri + mafuta yake,steaming ivi inategemea na nywele au?au ukishawk dawa unatumia steaming yyte?

Mega ina mafuta yake?

Mie steaming yangu ikiisha huwa naweka yoyote tu nitakayoikuta salon
 
Tahadharini tu na hizo relaxers, zina chemicals fulani ambazo ni 'endocrine inhibitors' zinazosababisha hormonal imbalance na baadae cancer ya uterus. Hivi sasa wamama fulani walioathirika wa marekani tayari wamefungua kesi ya madai ya mamilioni ya madola kuwa hawakupewa taarifa kuwa zinaweza kusababisha cancer.

Athari inatokea kwa wale wanaotumia relaxers kwa muda mrefu.
 
Tahadharini tu na hizo relaxers, zina chemicals fulani ambazo ni 'endocrine inhibitors' zinazosababisha hormonal imbalance na baadae cancer ya uterus. Hivi sasa wamama fulani walioathirika wa marekani tayari wamefungua kesi ya madai ya mamilioni ya madola kuwa hawakupewa taarifa kuwa zinaweza kusababisha cancer.

Athari inatokea kwa wale wanaotumia relaxers kwa muda mrefu.
Kazi ipo
 
Tunapeana taarifa tu, hata mimi nilikuwa mtumiaji kwa muda mrefu sana (1983-2015!) lakini baadae nilichoka na kuamua kuacha kuweka relaxer. Shida ilikuja ukizoea kuweka relaxers unashindwa kuzihudumia nywele na unaona kama hazipendezi vile.

Nimeamua kuwa na nywele fupi za mchicha maisha yanaendelea.

nb: nawashauri wenye watoto wadogo wasiwawekee hizo relaxers jamani, labda mara moja kwa shughuli fulani halafu basi.
 
Naweka dawa ya mega, steaming mega na mafuta mega. Steaming naweka mara moja kwa mwezi, naretouch mara mbili hadi tatu kwa mwaka.
 
Nunua packet 1 ya karafuu ya sh 500 ..,weka maji lita 1 ya maji chemsha.yale maji oshea au sugulia nywele zikiwa zishakuwa safi....imeisha hiyo
Kwa hiyo hapo unakuwa ndo umesha steam ivo.? Hii mpya kwangu.
 
Back
Top Bottom