Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Yaani unakuta kijana anahanhgaika kuipandisha suruali au kaptula yake aliyoivaa chini ya makalio yake utadhani kweli anaipandisha kiunoni kumbe anajaribu tu kuwaonyesha wanaomtazama kwamba kaivaa...
3 Reactions
10 Replies
476 Views
Yaani pesa yangu nyingi nilikuwa nawekeza kwenye simu, mabando, misosi, n.k. ila mavazi niliyapa thamani ndogo sana, nguo nilikuwa narudia hio hio hata mara 2 kwa wiki, kawaida sana. Kiatu...
12 Reactions
34 Replies
3K Views
Nguo yako ni ipi ambayo unaviaa kwenye matukio muhimu na ukiivaa unajiona umewaka kinoma noma
5 Reactions
42 Replies
948 Views
Wakuu naomba ushauri hapo na wapi napata ogiiina contact hasa waliotumia naomba ABC
1 Reactions
1 Replies
136 Views
Kuna watu hawajipendi kabisa, unakuta mtu unamheshimu vizuri tu lakini hajui kuzingatia usafi wake wa mwili. Mtu mzima, unanukaje mdomo, kwapa, miguu, masikio, au pua? Mfano: Mambo ya faragha...
15 Reactions
118 Replies
2K Views
Dada angu amechukua sura ya baba, mimi nimechukua sura ya mama, dada angu sio mbaya, hapana, ila tu hua inaonekana kama nimemzidi uzuri, watu wanasema mbona dada ako umemzidi uzuri. Kuna muda...
4 Reactions
53 Replies
1K Views
Ubunifu wa mitindo ya mavazi miongoni mwa Wabunge kwenye vikao vya Bunge umechukua nafasi yake Mitindo ya mavazi imeendelea kuchukua nafasi yake Bungeni, ambapo wabunge wamekuwa wakionesha...
1 Reactions
1 Replies
291 Views
Katika miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa 2000, kulikuwa na ladha ya kipekee sana katika maisha ya kila siku—hasa pale tunapozungumzia suala la kunyoa nywele. Enzi hizo hazikujali sana mitindo mingi...
1 Reactions
5 Replies
293 Views
Hapa na zungumzia usafi wa kuoga na kutumia mafuta. Ukiangalia kwa jicho la tatu yani una toa uchafu ulicho kitumia na uchafu wako kisha unajipaka uchafu. Mafuta tunayopaka unakuta yame...
3 Reactions
13 Replies
542 Views
Kuna watu wanadhani ukiwa mweupe ndio unakua mzuri na wengine wanakwambia “ weupe umekubeba”, ila kiuhalisia kuwa na muonekano mzuri ni combination ya vitu vingi. Kwa mfano mimi mbali na kua...
14 Reactions
97 Replies
4K Views
‎ Huyu Jamaa anaitwa Chibu. Chibu alikuwa tayari ameshinda tuzo nyingi sana za muziki, mpaka akawa mshindi wa tuzo za mwimbaji bora Afrika Mashariki. Sasa baada ya mafanikio hayo, akaamua kufanya...
2 Reactions
15 Replies
663 Views
Habari za jioni wanajamvi, Naomba niende moja kwa moja kwenye maada. Nina miaka 32, jinsia yang n Me, nimekumbana na changamoto ya kuota kipara mapema sana kuanzia kwenye komwe mpaka kisogoni...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu, mimi sijui kabisa kutandika kitanda 😅 Huwa mnatandikaje? Naomba mnisaidie hatua za kufuata, msinijibu vibaya maana naumwa.
7 Reactions
48 Replies
759 Views
🕔 5:00 – 6:00 AM – Amka mapema Salat (kama unaswali) Omba au tafakari Tengeneza kitanda Maji ya uvuguvugu, limao au mazoezi ya kuvuta pumzi 🕕 6:00 – 7:00 AM – Mazoezi ya mwili Cardio / Pushups...
8 Reactions
9 Replies
677 Views
Wakuu tunaopiga suti kali za kishua, tujuzane machimbo ya suti kali Dar Mwanza Arusha na kwingineko
6 Reactions
15 Replies
959 Views
Nikimwona mwanamke ana kipini puani naona kama kamfugo fulani hivi Wanawake punguzeni maurembo. Mara vikuku, huku kope za paka, mara uso unapakwa madudu mpaka unashindwa kujua huyu ni maiti au mzima
6 Reactions
19 Replies
767 Views
  • Redirect
Uzi tayari.
0 Reactions
Replies
Views
Kama ilivyo kwenye kula, naamini kuoga ni jambo linalohitaji nafasi na utulivu na huu ndio utaratibu wangu... Ninapoingia bathroom kuoga natumia dk si chini ya 20, kuna wakati naenda hadi dk30...
19 Reactions
111 Replies
5K Views
Mwanamke huangaliwa kama hips kifua n.k kifupi namba 8, je shape ya mwanaume inayovutia ni ipi? Yani ambayo unaweza sema perfect man. N. B usifananishe uanaume na kua rough. Kua na ngozi laini...
12 Reactions
226 Replies
9K Views
Back
Top Bottom