carnte
JF-Expert Member
- Aug 8, 2017
- 362
- 425
Jamani hili halipo kwa ma barmaid au Dada zetu wanaotoka familia duni. Lipo kwa Dada zetu hasa wanaofanya kazi katika makampuni makubwa na wana nafasi ambazo pasi shaka zinawaingizia kipato kikubwa.
Ajabu zaidi wengi wapo katika ndoa zao. Tulivumilia Nguo fupi sasa imekua too much, wanavaa nguo nyepesi tena zinazosadifu kabisa ndani hawajavaa chochote.
Mbaya zaidi baadhi ya hawa Dada zetu wajawazito, mpaka mnafanya tutake kuwashushia hadhi mama zetu.
Sio kila kitu ni cha kuiga, huo ni ushamba mkubwa
Ajabu zaidi wengi wapo katika ndoa zao. Tulivumilia Nguo fupi sasa imekua too much, wanavaa nguo nyepesi tena zinazosadifu kabisa ndani hawajavaa chochote.
Mbaya zaidi baadhi ya hawa Dada zetu wajawazito, mpaka mnafanya tutake kuwashushia hadhi mama zetu.
Sio kila kitu ni cha kuiga, huo ni ushamba mkubwa