Gods very own
Senior Member
- Jul 1, 2017
- 124
- 66
Mambozi dears, for the first time nataka nijaribu lace wig lakini naona mostly zimesukwa mbili kichwa au kubana kidoti, ina maana ukiliachia tu bila kubana au kusuka halipendezi?
Mwenye picha ya lace wig ambalo limeachiwa tu naombe atume hapa please.
Nataka ninunue yale ya kawaida tu 50,000, je yanafaa kupasi,kutong na kubadili rangi?
Ni hayo tu.
Mwenye picha ya lace wig ambalo limeachiwa tu naombe atume hapa please.
Nataka ninunue yale ya kawaida tu 50,000, je yanafaa kupasi,kutong na kubadili rangi?
Ni hayo tu.