Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Je wajua kuwa licha ya kuwa manukato/uturi, pafyumu (perfumes) zina faida kadhaa kimwili ikiwa ni pamoja na tiba? Fahamu faida 8 za pafyumu
1. Ni tiba ya kutumia harufu (aromatherapy)
2. Harufu za baadhi ya pafyumu husaidia kupunguza maumivu ya kichwa
3. Yaweza kusaidia tatizo la kukosa usingizi
4. Huibua hisia (mood) kama vile ya kwenda kwenye pati, mtoko, kideti, nk
5. Huleta kumbukumbu ya matukio flani (mfano ulienda kideti kisha flani akakusifia kuwa umejipulizia pafyumu nzuri)
6. Harufu nzuri ya pafyumu humfanya hata mtu mwenye sura mbaya kuonekana mzuri...angalau kifikra
7. Huongeza kujiamini
8. Hufanya mwili unukie vizuri (zana muhimu sana kwa wenye "vikwapa."
1. Ni tiba ya kutumia harufu (aromatherapy)
2. Harufu za baadhi ya pafyumu husaidia kupunguza maumivu ya kichwa
3. Yaweza kusaidia tatizo la kukosa usingizi
4. Huibua hisia (mood) kama vile ya kwenda kwenye pati, mtoko, kideti, nk
5. Huleta kumbukumbu ya matukio flani (mfano ulienda kideti kisha flani akakusifia kuwa umejipulizia pafyumu nzuri)
6. Harufu nzuri ya pafyumu humfanya hata mtu mwenye sura mbaya kuonekana mzuri...angalau kifikra
7. Huongeza kujiamini
8. Hufanya mwili unukie vizuri (zana muhimu sana kwa wenye "vikwapa."