Minah24
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,043
- 1,931
Unawezaje kumfanyia mtu makeup ya hovyo hovyo kwenye harusi yake jamani siku muhimu ambayo anatakiwa kupendezaa haswaaaa hadi muoaji akimuona anamsahau
Mabibi harusi weusi mnawakoseaga sana makeup, kama hafai kupaka hayo madude kwanini usimwambie tu au umpake kidogo
Jumapili nimeenda harusini hadi nimemhurumia dada wawatu, mwenyewe mweusi kapigwa foundation mpaka kawa mweupe ,mirangi ya machoni sasa khaaa muwage na huruma jamani
Bwana harusi hakuwa na raha kabisa nahisi alitamani muda uende haraka atoke pale
Msitupatishe dhambi za kucheka watu kwenye sherehe zao
Msiwafanyie hivi (uyo wa kwenye picha ni mfano )
Mabibi harusi weusi mnawakoseaga sana makeup, kama hafai kupaka hayo madude kwanini usimwambie tu au umpake kidogo
Jumapili nimeenda harusini hadi nimemhurumia dada wawatu, mwenyewe mweusi kapigwa foundation mpaka kawa mweupe ,mirangi ya machoni sasa khaaa muwage na huruma jamani
Bwana harusi hakuwa na raha kabisa nahisi alitamani muda uende haraka atoke pale
Msitupatishe dhambi za kucheka watu kwenye sherehe zao
Msiwafanyie hivi (uyo wa kwenye picha ni mfano )