Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,646
Huwa najiuliza wanawezaje? Wakati wa ujauzito mwili upo vile vile, akijifungua mwili upo vile vile, je hawali sana? Kama hawali mtoto anapaje maziwa?
Mfano Hamisa mobeto, napenda jinsi alivomaintain mwili, msaada tafadhali mwenzenu nmekua na mkono kama wa John Cena, sijui muda unavoenda nitakua kama sim tank hata sielewi
Nb: mazoezi yawe ushauri wa mwisho jamani make ni kipaji, nami sina hicho kipaji. Picha za before and after zinakuja.....
Mfano Hamisa mobeto, napenda jinsi alivomaintain mwili, msaada tafadhali mwenzenu nmekua na mkono kama wa John Cena, sijui muda unavoenda nitakua kama sim tank hata sielewi
Nb: mazoezi yawe ushauri wa mwisho jamani make ni kipaji, nami sina hicho kipaji. Picha za before and after zinakuja.....