Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Jamani ya bidi kuwa makini maana kwa sasa wanaume na wavulana wengi wanapaka na kujipuriza lotion na perfume za kike bila aibu mitaani akipita kama hujamwangalia utahisi kuwa ni mwanamke kumbe ni jemba. Wanajf mnaokerwa na hivyo vijitabia hebu semeni ukweli