POWERTILER ni aina ya trekta ya tairi mbili, kina uwezo wa kulima eneo kubwa kwa muda mfupi.
Ni kifaa cha kulimia kilirichorahisishwa zaidi kusaidia Mkulima wa chini na kati.
Ni kilimishi...
Wakuu, Habari za Leo, Wafugaji wa Kuku naomba kuuliza , mnajuaje huyu Kuku inabidi mumuuze kwa bei flani (mfano 7,000)?
Kwa kutumia Fuga App itakusaidia kujua kila shilingi inapokwenda na kukupa...
🌍 Rubaba Media – Tukiinua Ufugaji na Kilimo Tanzania 🌱🐖
Kwa muda mrefu, Rubaba Media tumekuwa tukipokea jumbe kutoka kwa watu wa aina mbalimbali – wanafunzi, wafanyakazi, wafugaji wapya na hata...
Tip: Lishe bora si rangi pekee, ni mchanganyiko sahihi.
Fuga App inakusaidia kupanga na kufuatilia lishe ya kuku wako kwa ufanisi. Pakua Leo Playstore (Fuga - Apps on Google Play)
🎥credit...
Sifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni.
Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu.
Kwenye Biashara Aina...
Hebu kila mmoja atupe uzoefu wake kwenye biashara za exportation
Au useme ni sababu gani zinakufanya ushindwe kufanya exportation
Mimi nitaeleza kidogo:
Leo nimeona tujadili kidogo ni kwanini...
Habari wakuu.
Naomba kujua kama ni sahihi kupandikiza mimea miwili ya chainizi kwa shimo Moja, endapo nitaweka mbolea nyingi zaidi ya sehemu niliyopandikiza mmea mmoja.
My Take
Bila kukuza sekta ya mifugo na kuanzisha viwanda vya kuchakata unga na ku blend ,mahindi yataendelea kuromoka.
Zimbabwe nako ni bumper harvests...
Habari za muda muda wadau bila shaka mnaendelea kufuatilia wagombea waliopita.Nisiwachoshe nipo jijini Mwanza najihusisha na ufugaji wa samaki aina ya Sato ziwa victoria, natarajia kuvuna...
Changamoto kubwa ya kilimo na ufugaji si uzalishaji – ni soko. Wengi hufanya kazi kubwa shambani au bandani, lakini mwisho wa siku bei ni ndogo, wanunuzi hawapo, au madalali ndio hunufaika.
👉...
Wadau Amani iwe kwenu
Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier
Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza...
Habari zenu wapambanaji
Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M...
Wadau ninashamba la ekari 50 ukanda wa ziwa victoria Nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji WA mahindi na mpungu wakati wa masika na kiangazi.
Shamba Kikimit 700 800 kutoka ziwani.
Je, wazoefu...
✅ CHUPA ZA KUPULIZIA DAWA MABANDANI
BEI 10,000/=Tsh Lita 4.5. (Offer)
Tunauza sprayer bora na imara kwa ajili ya:
✔ Kupulizia dawa za kuua wadudu na kuzuia magonjwa
✔ Kunyunyizia maji mabandani...
Katika hekaheka za kujiandaa kustaafu miaka 7 baadae nimeamua nipande miche kama 500 yaani ekari 10 za maembe kisasa.
Shamba lipo Tabora kwa sasa naendelea kuchimba mashimo. Nitapanda bila...
Je, unatumia Fuga App? Tunataka kujua uzoefu wako na jinsi tunaweza kuifanya bora zaidi kwa ajili yako.
Jaza dodoso hili kwa dakika 2 tu na tusaidie kukupa huduma bora zaidi.
👉 [Utafiti wa...
Wakuu mimi ni mfugaji na nina uzoefu sana katika ufugaji japo nakili wazi bado huwa najifunza kwa wenzangu tena kwa bidii sana.
Nilichanja kuku wangu chanjo ya kideri (Newcastle)27/07/2025 na...
Moja ya magonjwa mabaya zaidi yanayowakumba kuku. Ugonjwa huu huathiri ubongo na mfumo wa neva, na kusababisha dalili kama shingo kupinda , kutembea vibaya, kupumua kwa shida, na kushuka kwa...
Wakuu itifaki imezingatiwa.
Kwa Wazoefu wa Kilimo Cha mahindi ,naomba kufahamu Sumu ya Kudhibiti Minyoo au funza wanaokula mahindi yakiwa hatua ya Mwanzo yaani mbegu Hadi wiki 2 "Seedcorn Maggot"...
Natumaini nyote hamjambo!
Mie naitwa Kakuyu, naomba ushauri mahsusi kutoka kwa waliokwishafanya Kilimo cha Maembe na Minazi.
Nina shamba lipo Kisarawe maeneo ya Masaki (Mji Mpya) lenye ukubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.