Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

POWERTILER ni aina ya trekta ya tairi mbili, kina uwezo wa kulima eneo kubwa kwa muda mfupi. Ni kifaa cha kulimia kilirichorahisishwa zaidi kusaidia Mkulima wa chini na kati. Ni kilimishi...
3 Reactions
30 Replies
9K Views
Wakuu, Habari za Leo, Wafugaji wa Kuku naomba kuuliza , mnajuaje huyu Kuku inabidi mumuuze kwa bei flani (mfano 7,000)? Kwa kutumia Fuga App itakusaidia kujua kila shilingi inapokwenda na kukupa...
3 Reactions
12 Replies
880 Views
🌍 Rubaba Media – Tukiinua Ufugaji na Kilimo Tanzania 🌱🐖 Kwa muda mrefu, Rubaba Media tumekuwa tukipokea jumbe kutoka kwa watu wa aina mbalimbali – wanafunzi, wafanyakazi, wafugaji wapya na hata...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
  • Poll Poll
Tip: Lishe bora si rangi pekee, ni mchanganyiko sahihi. Fuga App inakusaidia kupanga na kufuatilia lishe ya kuku wako kwa ufanisi. Pakua Leo Playstore (Fuga - Apps on Google Play) 🎥credit...
0 Reactions
2 Replies
435 Views
Sifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni. Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu. Kwenye Biashara Aina...
7 Reactions
55 Replies
7K Views
Hebu kila mmoja atupe uzoefu wake kwenye biashara za exportation Au useme ni sababu gani zinakufanya ushindwe kufanya exportation Mimi nitaeleza kidogo: Leo nimeona tujadili kidogo ni kwanini...
38 Reactions
103 Replies
28K Views
Habari wakuu. Naomba kujua kama ni sahihi kupandikiza mimea miwili ya chainizi kwa shimo Moja, endapo nitaweka mbolea nyingi zaidi ya sehemu niliyopandikiza mmea mmoja.
2 Reactions
7 Replies
581 Views
My Take Bila kukuza sekta ya mifugo na kuanzisha viwanda vya kuchakata unga na ku blend ,mahindi yataendelea kuromoka. Zimbabwe nako ni bumper harvests...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za muda muda wadau bila shaka mnaendelea kufuatilia wagombea waliopita.Nisiwachoshe nipo jijini Mwanza najihusisha na ufugaji wa samaki aina ya Sato ziwa victoria, natarajia kuvuna...
14 Reactions
44 Replies
2K Views
Changamoto kubwa ya kilimo na ufugaji si uzalishaji – ni soko. Wengi hufanya kazi kubwa shambani au bandani, lakini mwisho wa siku bei ni ndogo, wanunuzi hawapo, au madalali ndio hunufaika. 👉...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Wadau Amani iwe kwenu Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu wapambanaji Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M...
5 Reactions
53 Replies
4K Views
Wadau ninashamba la ekari 50 ukanda wa ziwa victoria Nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji WA mahindi na mpungu wakati wa masika na kiangazi. Shamba Kikimit 700 800 kutoka ziwani. Je, wazoefu...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
✅ CHUPA ZA KUPULIZIA DAWA MABANDANI BEI 10,000/=Tsh Lita 4.5. (Offer) Tunauza sprayer bora na imara kwa ajili ya: ✔ Kupulizia dawa za kuua wadudu na kuzuia magonjwa ✔ Kunyunyizia maji mabandani...
1 Reactions
0 Replies
346 Views
Katika hekaheka za kujiandaa kustaafu miaka 7 baadae nimeamua nipande miche kama 500 yaani ekari 10 za maembe kisasa. Shamba lipo Tabora kwa sasa naendelea kuchimba mashimo. Nitapanda bila...
29 Reactions
123 Replies
10K Views
Je, unatumia Fuga App? Tunataka kujua uzoefu wako na jinsi tunaweza kuifanya bora zaidi kwa ajili yako. Jaza dodoso hili kwa dakika 2 tu na tusaidie kukupa huduma bora zaidi. 👉 [Utafiti wa...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Wakuu mimi ni mfugaji na nina uzoefu sana katika ufugaji japo nakili wazi bado huwa najifunza kwa wenzangu tena kwa bidii sana. Nilichanja kuku wangu chanjo ya kideri (Newcastle)27/07/2025 na...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Moja ya magonjwa mabaya zaidi yanayowakumba kuku. Ugonjwa huu huathiri ubongo na mfumo wa neva, na kusababisha dalili kama shingo kupinda , kutembea vibaya, kupumua kwa shida, na kushuka kwa...
1 Reactions
6 Replies
559 Views
Wakuu itifaki imezingatiwa. Kwa Wazoefu wa Kilimo Cha mahindi ,naomba kufahamu Sumu ya Kudhibiti Minyoo au funza wanaokula mahindi yakiwa hatua ya Mwanzo yaani mbegu Hadi wiki 2 "Seedcorn Maggot"...
0 Reactions
1 Replies
292 Views
Natumaini nyote hamjambo! Mie naitwa Kakuyu, naomba ushauri mahsusi kutoka kwa waliokwishafanya Kilimo cha Maembe na Minazi. Nina shamba lipo Kisarawe maeneo ya Masaki (Mji Mpya) lenye ukubwa wa...
2 Reactions
35 Replies
14K Views
Back
Top Bottom