mrlonely98
Member
- Nov 6, 2009
- 99
- 29
Asalaam,
Nilikua nataka kuijua kilimo cha ndizi,
Ukiwa na hekamoja pale kiwangwa na Mtaji wa laki tano
1. Unaweza kuotesha mingapi
2. Mda wa rotation
3. Soko likoje
Nilikua nataka kuijua kilimo cha ndizi,
Ukiwa na hekamoja pale kiwangwa na Mtaji wa laki tano
1. Unaweza kuotesha mingapi
2. Mda wa rotation
3. Soko likoje