Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu! Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Uzalishaji wake,Haki ya hewa,Mavuno,bei na Changamoto zake maana inaonekana ni dhahabu iliyojificha.
1 Reactions
3 Replies
984 Views
MBUNGE SALIM HASHAM AMETOA MATREKTA BURE ILI VIJANA WALIME WAINUKE KIUCHUMI Katibu wa Mbunge Jimbo la Ulanga mkoani Morogoro Thomas Daffa amewataka vijana wa Wilaya hiyo kutumia vyema fursa ya...
1 Reactions
3 Replies
701 Views
Habari za asubuh . Kuelekea msimu wa kiangazi ni msimu ambao sisi wakulima tunauita msimu wa kukosa kutokana uhaba wa maji , Ila mm Kuna kitu namefikiria kukifanya kwenye sector ya umwagiaji...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Naomba kama kuna mtu humu ambae anajishughulisha na Utotoleshaji wa vifaranga wa kuku wa kisasa wa mayai Ama mtu anaemfahamu wakala yeyote Anajishughulisha na hao vifaranga, nina shida nao...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Habari ndugu, Aina gani ya mbegu ya pioneer inafaa kwa mahindi ya kuchoma ukanda wa Pwani?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nataka kupanda mahindi kwenye wilaya za Karagwe na Ngara. Naomba kushauriwa mbegu bora inayofaa katika wilaya hizi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina eneo kubwa bwawa kubwa mkoani Tabora natafuta mtu wa kushirikiana naye tufunge samaki Mawasiliano 0693214177
1 Reactions
1 Replies
800 Views
Natarajia kuanza kuvuna Maharage mwezi huu nimeiona ni vema nianze kutafta soko mapema kabla ya kuanza kuvuna. Aina ya Maharage ni Uyole Njano (goroli).
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba kuuliza, hivi ni mbegu gani ya mahindi ni nzuri kwa mahindi ya kuchoma ukiachana na pioneer maana haipatikani madukani sahivi mimi nipo Mkuranga
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huwa some time naingia Super Market hizi kubwa sio kwa kununua kitu bali kuchungulia sana Food Products hasa hizi fresh. Kwenye super Market kubwa zile high end bidhaa za chakula asilimia 80...
1 Reactions
1 Replies
529 Views
Bundi ni ndege kama ndege wengine, wengi hawajafahamu faida zinazopatikana katika ufugaji wa ndege hawa. Soko la bundi ni kubwa kuanzia kwenye mayai, ndege wenyewe. Soko kubwa la ndege hawa liko...
10 Reactions
27 Replies
6K Views
NCHI za Afrika zimeshauriwa kuwekeza katika utafiti wa mbegu asili kwa kuwa zina lishe bora, uhakika wa chakula na salama kwa afya ya mtumiaji. Ushauri huo umetolewa na wadau mbegu asili kutoka...
1 Reactions
1 Replies
521 Views
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar. Arusha...
22 Reactions
145 Replies
12K Views
Habari ndugu zangu, leo naomba nami niongee neno katika uwanja huu wa kijasiriamali, Mimi ni mhitimu wa Degree ya Uhasibu miaka 3 iliyopita, tangu kipindi hicho chote sijapata ajira ya kudumu na...
11 Reactions
40 Replies
6K Views
Uko wapi na bei ya gunia la mpunga huko ikoje.
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Mimi ni mfugaji mwanafunzi kuna mdau anadai pig booster ikitumiwa kwa kuku,kuku huwa na maumbo mithili ya nguruwe! Mliowahitumia hiyo kitu kwa kuku,naomba mnielimishe,mlitumiaje na kwa kuku wa...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Hodi huku Kumekuwa na nyuzi humu zikijadili uimara wa trekhlta zinazouzwa mitandaoni South Afrika. Uimara huo umekuwa ukitiliwa mashaka kulinganisha na bei ya trekta hizo. Ukiingia kwenye mitandao...
24 Reactions
79 Replies
15K Views
Nauliza. Nataka kufuga mbwa lkn hasie na madhara wala sio kwa urembo wa sebuleni. Awe normal wa nje mwenye kucheza cheza na upendo. Sipendi mwenye manyoya mengi sana kwasabab ya usafi. Naombeni...
2 Reactions
10 Replies
924 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…