Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Peter Wambugu amejizolea umaarufu mkubwa sana Kenya kwa kuweza kudevelop Breed yake ya Apple ambayo ameipa jina Wambugu Apple. Hii apple inaonekana kuvuta watu wengi sana hasa West Africa, Centra...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Chuo cha Misitu Olmotonyi (FTI) ni chuo pekee kikubwa tangu kuanzishwa kwake mwaka 1937 na ni moja ya chuo bora kabisa kuwepo Afrika Mashariki, Afrika na Duniani, katika utoaji wa mafunzo ya...
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Wakuu, Leo nimetembelea maonyesho ya wakulima hapa rock city na nikapita mabanda mbali mbali ya wauzaji na wazalishaji wa mbegu Bora za aina mbali mbali. Kilicho nivutia ni Hawa kampuni ya mbegu...
5 Reactions
51 Replies
29K Views
Ukiangalia maandamano ya Wakulima Ulaya yana fikirisha sana na kujikuta nawaza kama tuna lima huku Africa au tuna tania tu. Ulaya wakulima wana nguvu mno, kaisi kwamba sisi tunaonekana tuna cheza...
3 Reactions
9 Replies
735 Views
Habari wanajamii Kilimo, Binafsi nimepitia hii nyaraka, kwa wale wapenda kilimo kama mimi ukiipitia hii document itakufungua macho sana kuhusu zao gani lipewe kipaumbele kutokana na eneo ulilopo...
3 Reactions
7 Replies
972 Views
Mbunge Mwantum Zodo Aibana Serikali Kuvisaidia Vikundi vya Uzalishaji Mali vya Ufugaji Vinavyosimamiwa na Wanawake VIKUNDI 102 VYA WAFUGAJI VYANUFAIKA NA MIKOPO NAIBU Waziri Ofisi ya...
0 Reactions
0 Replies
301 Views
Watanzania wengi kwa sababu ya kuigana yaani no kuumiza kichwa wote tuna fuga kuku wa mayai au Nyama. Kuna Bata special wa Mayai hawa utagaji wao hakuna Kuku anaye fuata, kuna layers Ducks...
11 Reactions
76 Replies
14K Views
Naitaji kifahamu jinsi ya kutatua changamoto ya mahindi kuwa na rangi ya kijivu Nini suluhisho?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mlimao wangu ulipata Shida na majani kuanza kuwa meusi. Nilichukua Jani na kupeleka Kwa wataalam wanauza dawa za mimea wanajiita Mangito. Kufika palale kuwaonyesha na wakanipa dawa ya ukungu...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Hellow wapendwa, Naomba kuuliza wapi nitapata mizani ya kidigital ya kupimia mazao hadi kilo 150? Inahitajika haraka sana?
0 Reactions
2 Replies
484 Views
Nina maua yamepata ugojwa kama huu naombeni ushauri na dawa
0 Reactions
2 Replies
421 Views
Wakuu hasa wafugaji!! Nataka nianze kufuga kuku majogoo wa kienyeji ila nataka Dume tu ndo wanakua haraka
2 Reactions
47 Replies
3K Views
Miaka na miaka kuna watu wanandaga Israeli kujifunza kilimo. Israeli kama unavyojua imepiga hatua kubwa sana kwenye Kilimo kiasi kwamba levo zao ni Nchi za Ulaya na Marekani. Sasa jamaa zetu...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo) Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa? Msaada kwa anayeelewa. #commred Chichimizi
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Nafanya biashara ya kuuza mboga za majani za aina tofauti, kwa hali hii ya joto zinawahi kusinyaa hivyo kupoteza muonekano wake mzuri na kukosa wateja. Nipeni mbinu ya kufanya mboga za majani...
0 Reactions
1 Replies
518 Views
Habari za saa hizi wadau. Mimi ni mkulima mdogo wa maharage katika wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara. Ninapenda kuulizia fursa ya kukodi shamba la kulima maharage na mahindi mkoani Tanga...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Habari za asubuhi wadao. Naomba connection ya sehemu linapolimwa tumbaku na ugoro ukiachana na Ngaramtoni ya chini kule Arusha. Nahitaji kama heka tano za kukodisha kwa ajili ya kulima msimu huu...
0 Reactions
2 Replies
420 Views
Nawa salimuni kwa jina la Mungu. Ndugu wafugaji na wakulima Mwaka 2024 huu Mungu ametujaalia kuwa salama tena na kutubarikia kwa kila hitaji letu na familia zetu, tunawapa pole wale wote...
5 Reactions
1 Replies
489 Views
Kwa anayejua abc kuhusu kilimo cha mtunda damu - passion fruits, naomba tuweze kupanuana maarifa kwa yafuatayo:- 1. Ardhi inayofaa kilimo hiki au hata green house 2. Upatikanaji wa mbegu bora 3...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Msimu huu wakulima wa Machungwa aina ya Valencia wamepata fedha nzuri, kwani mpaka Muda huu kule mashambani muheza Tanga bei ya Chungwa moja ni Tsh 100 hiyo ni bei ya shambani tena hapo mkulima...
10 Reactions
41 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…