kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,866
- 2,746
Mlimao wangu ulipata Shida na majani kuanza kuwa meusi. Nilichukua Jani na kupeleka Kwa wataalam wanauza dawa za mimea wanajiita Mangito. Kufika palale kuwaonyesha na wakanipa dawa ya ukungu nikapulize. ILa kilichofuata baada ya kupuliza Ile dawa ni kuwa ilikuwa kama imewaboost na weusi kuzidi Hadi mlimao unashindwa kuzaa vizuri. JE hawa wataalam wapo kweli au ni kumaliziana hela Tu.