Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Serikali Imeendelea Kuhamasisha ufugaji wa samaki kwa vizimba nchini. Kwa kipindi cha mwaka 2000 hadi 2024 Jumla ya vizimba 222 vilitolewa kwa wananchi 1,213 ambao wanatokana na vyama vya ushirika...
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Watanzania wengi tumewekza sana kwenye biashara za kuigana mwanzo mwisho na tuna sahau kuna gap kwenye kilimo cha vyakula wanavyo tumia sana foregners wanao iahi Tanzania. Na kwenye Kilimo hata...
7 Reactions
2 Replies
991 Views
Kuna vitu ukivitaja unalima au unafanya watu wanaweza kukuona kama umechanganyikiwa jwa sababu kuu 1 tusha zoea yale mambo ya fuata mkumbo yale ya mass, yale mambo yanafanywa na wote.Kama ni...
1 Reactions
0 Replies
291 Views
Nahitaji rain gun yenye radius ya kurusha maji metres kuanzia 40 hadi 60. Inauzwa bei gani
1 Reactions
2 Replies
386 Views
Aina NI hausqavar Imetumika miezi mitatu Bei 1.5
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari za muda huu naomba msaada ni tiba gani inafaa kwa kuku wanaofunga macho na kutoa uchafu km maji ya sabuni ya kipande ilio lowekwa. (Ulenda ulenda). Na huu ugonjwa unatokana na nini pia...
3 Reactions
16 Replies
47K Views
Habari wadau!! Kuna ukweli gani kuhusu utagaji wa hawa kuku chotara aina ya SASSO na Kuroiler! Inavyosemekana kuwa wanachelewa sana kutaga na hawatagi mayai mengi, kama ukitaka kufuga hawa...
3 Reactions
56 Replies
28K Views
Habari wanajamvi, Kuna jambo nimeona la kushangaza kidogo katika maonyesho haya ya sabasaba katika banda la Wizara ya Kilimo na Uvuvi, kuna sanamu ya huyu samaki anayeitwa coelacanth au silikanti...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hallo wakuu niko na mbwa jike hapa nyumbani nifanyeje asizae tena? Maana midume humfuata hapa nyumbani, Ushauri tafadhali
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Wakuu kheri ya mwaka mpya kwenu nyote, natumai mko poa. Hongereni pia kwa mapambano ya kilimo. Wakuu nahitaji muongozo kadhaa kuhusu kilimo Cha mahindi. Nahitaji kwenda kufanya kilimo cha mahindi...
5 Reactions
26 Replies
7K Views
Habarini za mwaka mpya wana Jf! Baada ya muda mrefu kuto post makala humu (nimekuwa busy kwenye media zingine kama instagram, utube,whatsap,telegram..),acha leo nichangie kidogo maana nimeona...
9 Reactions
65 Replies
17K Views
Nimefanikiwa kupata ardhi yenye ukubwa wa ekari 200. Ni eneo ambalo bado ni pori. Huenda halijawahi kulimwa tokea liwepo, pengine. Kwa kuwa ni eneo kubwa, ninakusudia kulifanyia kazi taratibu...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda sana kufunga ndege wanaofugwa kama kasuku,mdau anayejua wanauzwa wapi anijulishe
1 Reactions
6 Replies
536 Views
Ndugu zangu habari za Leo!Ningependa kuwaauliza kuhusu biashara ta RED MERCURY(ZEBAKI NYEKUNDU). Nimepata taarifa kuwa hii kitu inatafutwa miaka nenda miaka rudi je ni kweli kitu kama hiii...
0 Reactions
49 Replies
27K Views
Salaams Wapendwa wangu,,....!! Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!! Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!! Mimi...
4 Reactions
283 Replies
32K Views
Habari zenu wana JF! Namshukuru Mungu kwa kunipa nasafasi hii ya kuongezeana maarifa na ujuzi ya kulijenga taifa letu. Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mimi ni mwanafunzi lakini pia...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
1. Majogoo ya Mbegu. 2. Vifaranga wa Mwezi mmoja. 3. Vifaraga wa wiki tatu. 4. Vifaranga wa wiki mbili. 5. Vifaranga wa siku moja wanapatikana kwa order. Kuku wote wamechanjwa na bei...
3 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nahitaji majogoo wa kisasa ili wapande kuku wa kienyeji kupata vifaranga chotara. Kwa mwenye nao hasa maeneo ya Mwanza anijulishe tafadhali ili niweze kununua kutoka kwake.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mambo? Naombeni msaada wenu kama kuna mtu yoyote mwenye experience juu ya usafirishaji wa matunda nje ya nchi na vibali vyake..
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana janvi kichwa cha habari kinajieleza naombeni ushauri nina pesa hiyo,nipo kijijini nifanye biashara gani jamani, ninakuku hamsini sasa nilikuwa nataka ninunue incubator ili niee nanunua mayai...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom